Mkataba wa kupeleka gesi Slovak unaisha. Waziri Mkuu kwenda Urusi wiki ijayo

Mkataba wa kupeleka gesi Slovak unaisha. Waziri Mkuu kwenda Urusi wiki ijayo

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Imeelezwa kuwa waziri mkuu wa Slovak anajiandaa kufanya ziara wiki ijayo Russia kukutana na Putin kuzungumzia suala la usambazaji wa Gesi nchini kwake.

Mkataba wa sasa wa kupeleka Gesi unakaribia kuisha wiki chache zijazo.

Taarifa ya ziara hiyo imewashitua viongozi wa mataifa mengine ya umoja wa ulaya na kwamba kitendo hicho kitaleta sintofahamu/tension kwa jumuiya hiyo ya Ulaya.
 
Imeelezwa kuwa waziri mkuu wa Slovak anajiandaa kufanya ziara wiki ijayo Russia kukutana na Putin kuzungumzia suala la usambazaji wa Gesi nchini kwake.

Mkataba wa sasa wa kupeleka Gesi unakaribia kuisha wiki chache zijazo.

Taarifa ya ziara hiyo imewashitua viongozi wa mataifa mengine ya umoja wa ulaya na kwamba kitendo hicho kitaleta sintofahamu/tension kwa jumuiya hiyo ya Ulaya.
Zelensky hataki kabisa kuona wala kusikia ziara hii ya Moscow ya Waziri mkuu Robert Fico
 
Zelensky hataki kabisa kuona wala kusikia ziara hii ya Moscow ya Waziri mkuu Robert Fico
mnapenda kugeuza ukwel , Putin ndo anapiga mabiti kila siku kwa wanaoshirikiana na mataifa ya magharibi , kwasasa Shetan kashika akili zetu hazifanyi kazi kabisa
 
Back
Top Bottom