Mkataba wa Muungano una kipengele cha ‘Masharti ya Kuuvunja’?

Mkataba wa Muungano una kipengele cha ‘Masharti ya Kuuvunja’?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Wataalamu wa mambo ya sheria mtakubaliana na mimi kuwa mkataba wowote halali lazima uwe na kipengele cha kuvunja ambacho kinaeleza ni mambo gani yanaweza kupelekea mkataba husika kuvunjika.

Kwa walio na mkataba wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar je kuna kipengele hicho na endapo kipo kina masharti gani?
 
Back
Top Bottom