Mkataba wa Neymar

mbiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
529
Reaction score
135
Habari wanajamvi,

Nauliza katika ile deal ya Neymar na Barcelona iliyogharimu euro 57 milioni mbona neymar alipata hela nyingi euro mil 34 kuliko klabu yake ya Santos waliochukua euro mil 17 wakati alikuwa under contract nao?
 
kwa haraka haraka nadhani clause za mkataba wake na santos ulikuwa weak kiasi cha kuwezesha ilo kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…