demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kwa kawaida unaposaini mkataba na kuonyesha Cheque basi tunatarajia jumla ya kiasi cha kwenye cheque kiakisi thamani ya muda wa mkataba unapodumu hadi kufikia tamati.
Je, mkataba wa Sandaland na simba una thamani ya kiasi gani katika kipindi cha muda wote huo wa miaka 2?
Sote tunatarajia Cheque iandikwe Bilion 4 (ambayo ni thamani ya mkataba wa miaka 2), sasa imekuwaje imeandikwa Bilion 4?
Sote tunafahamu Mkataba unaposainiwa ndipo Cheque nayo inaposainiwa (ili kuakisi thamani ya huo mkataba). Je kwa kiasi kilicho andikwa kwenye Cheque ndicho kiasi ambacho kiko kwenye mkataba?
Au Simba na Sandaland watasaini mkataba mwingine wa Bilion 2 wa mwaka wa pili pale tu mwaka wa mkataba wa kwanza utakapo tamatika?
Kama ni hivyo basi Sandaland ameamua kupima kina cha maji kwanza ili aone kama kuna faida au lah. Nadhani atakuwa amesukumwa pa kubwa na hasara aliyoipata mwenzake VunjaBei kwa miaka ile miwili.
Je, mkataba wa Sandaland na simba una thamani ya kiasi gani katika kipindi cha muda wote huo wa miaka 2?
Sote tunatarajia Cheque iandikwe Bilion 4 (ambayo ni thamani ya mkataba wa miaka 2), sasa imekuwaje imeandikwa Bilion 4?
Sote tunafahamu Mkataba unaposainiwa ndipo Cheque nayo inaposainiwa (ili kuakisi thamani ya huo mkataba). Je kwa kiasi kilicho andikwa kwenye Cheque ndicho kiasi ambacho kiko kwenye mkataba?
Au Simba na Sandaland watasaini mkataba mwingine wa Bilion 2 wa mwaka wa pili pale tu mwaka wa mkataba wa kwanza utakapo tamatika?
Kama ni hivyo basi Sandaland ameamua kupima kina cha maji kwanza ili aone kama kuna faida au lah. Nadhani atakuwa amesukumwa pa kubwa na hasara aliyoipata mwenzake VunjaBei kwa miaka ile miwili.