Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Nashangazwa tu na kiasi hicho maana mkataba hapo wazi kama ule wa Azam.
Kwa miaka jumla ya thamani ya mkataba ni Bill 3.5 ukigawanya kwa miaka kumi ni Mill 350, hii ni kila mwaka.
Million 350 ukigawa kwa miezi 12 ni sawa na Million 2,916,666,hii ni pesa ya kila mwezi.
Million 2 na laki 9 ukigawa kwa 16 idadi ya timu zinazoshiriki liguu ambazo zitakuwa msimu ujao ni Tsh.182,291 kwa kila timu kwa kila mwezi ndani ya miaka 10?
Je, huu ndio tafsiri ya mkataba husika?
Faida za TBC kwenye mkataba huu.
Itaongeza wasikilizaji na sponsors kwenye utangazaji wao matangazo ya mpira mf.Kampuni ya Colgate ikitoa wakidhamini kila kwa laki 2 tu ili bidhaa yao itangazwe TBC watapata pesa yakuwapa TFF na chenji itabaki iyo kwa mechi 1.
TBC sasa ndio wanayo haki ya kuwauzia mashirika ya redio mengine yakitaka kutangaza mpira je watauza bei wanayoitaka na TFF hawana cha kufanya.
Kwa miaka jumla ya thamani ya mkataba ni Bill 3.5 ukigawanya kwa miaka kumi ni Mill 350, hii ni kila mwaka.
Million 350 ukigawa kwa miezi 12 ni sawa na Million 2,916,666,hii ni pesa ya kila mwezi.
Million 2 na laki 9 ukigawa kwa 16 idadi ya timu zinazoshiriki liguu ambazo zitakuwa msimu ujao ni Tsh.182,291 kwa kila timu kwa kila mwezi ndani ya miaka 10?
Je, huu ndio tafsiri ya mkataba husika?
Faida za TBC kwenye mkataba huu.
Itaongeza wasikilizaji na sponsors kwenye utangazaji wao matangazo ya mpira mf.Kampuni ya Colgate ikitoa wakidhamini kila kwa laki 2 tu ili bidhaa yao itangazwe TBC watapata pesa yakuwapa TFF na chenji itabaki iyo kwa mechi 1.
TBC sasa ndio wanayo haki ya kuwauzia mashirika ya redio mengine yakitaka kutangaza mpira je watauza bei wanayoitaka na TFF hawana cha kufanya.