Kume kuwa na utetezi WA Wanaotetea nkataba WA DPW kuwa ukodishaji WA Bandari sio WA mara ya Kwanza , Kwa kutolea mfano WA Mkataba WA TICTS ambayo ilikuwa na muungano na Hutchinson ya Singapore , bula kuweka utofauti WA mikataba hii.
Mosi nkataba WA TICTS haukuwa na IGA lakini huu Una WA DPw Una IGA. Pili nkataba WA TICTS ilikuwa na ukomo Kwanza WA miaka 10 na baadae kuongezewa miaka 15. Ndio maana kelele za kuuzwa hazikuwepo.
Tatu kulikuwepo na nkataba kama WA IPTL ambao ilikuwa na kifungu cha kuwalipa USD 100m ikiwa tutavunja mkataba kabla ya kuisha miaka 10 , lakini nkataba huo unalitesa taifa zaidi ya miaka kumi sasa. Na hela zina chotwa kulipia capacity charge wazalishe umeme au wasizalishe na mengineyo, licha ya maneno mazuri tuliyopewa mikataba hiyo ilivyoingiwa.
Ndio maana Leo hii watu wanapiga kelele juu ya ukomo WA Mkataba huu, na jinsi ya kutoka kwenye ndoa hii ikiwa kuna vitu kwenda tofauti na matarajio yetu.
Sasa haya maneno haifai kujibiwa kisiasa Kwani haya masala sio la kisiasa na sio la kiuchumi Tu, Bali Lina mambo ya kisheria ambapo ndipo mgogoro mkuu ulipo na madhara take Kwa nchi yapo huko.
Hivyo hoja za kisiasa na za kiuchumi zisitumiwe kulaghai Taifa.
Nne kuna mkataba WA Loliondo ambao nao tuliambiwa ni miaka kumi lakini Hadi Leo bado Ortelo yupo na ndio maana watu wana ogopa hili suala la Maisha au milele. Na hatujui huo ukodishaji WA Loliondo fedha zake zinakwenda wapi na Taifa linapata faida katika nkataba huo. Na CAG report zake haziongelei suala hili kana kwamba Loliondo sio sehemu ya TZ.
Mosi nkataba WA TICTS haukuwa na IGA lakini huu Una WA DPw Una IGA. Pili nkataba WA TICTS ilikuwa na ukomo Kwanza WA miaka 10 na baadae kuongezewa miaka 15. Ndio maana kelele za kuuzwa hazikuwepo.
Tatu kulikuwepo na nkataba kama WA IPTL ambao ilikuwa na kifungu cha kuwalipa USD 100m ikiwa tutavunja mkataba kabla ya kuisha miaka 10 , lakini nkataba huo unalitesa taifa zaidi ya miaka kumi sasa. Na hela zina chotwa kulipia capacity charge wazalishe umeme au wasizalishe na mengineyo, licha ya maneno mazuri tuliyopewa mikataba hiyo ilivyoingiwa.
Ndio maana Leo hii watu wanapiga kelele juu ya ukomo WA Mkataba huu, na jinsi ya kutoka kwenye ndoa hii ikiwa kuna vitu kwenda tofauti na matarajio yetu.
Sasa haya maneno haifai kujibiwa kisiasa Kwani haya masala sio la kisiasa na sio la kiuchumi Tu, Bali Lina mambo ya kisheria ambapo ndipo mgogoro mkuu ulipo na madhara take Kwa nchi yapo huko.
Hivyo hoja za kisiasa na za kiuchumi zisitumiwe kulaghai Taifa.
Nne kuna mkataba WA Loliondo ambao nao tuliambiwa ni miaka kumi lakini Hadi Leo bado Ortelo yupo na ndio maana watu wana ogopa hili suala la Maisha au milele. Na hatujui huo ukodishaji WA Loliondo fedha zake zinakwenda wapi na Taifa linapata faida katika nkataba huo. Na CAG report zake haziongelei suala hili kana kwamba Loliondo sio sehemu ya TZ.