The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanja cha Kimataifa cha Ndege Wilayani Serengeti umesainiwa Februari 27,2025 Jijini Dar Es Salaam
Utekelekezaji wa Mradi huo utasimamiwa Mhandisi Mshauri na Kampuni Binafsi ya 7-Engineering kwa kushirikana na Intairplan GMBH na Project Plus (T) LTD, kwa gharama za Sh 1.3 Bilioni ,muda wa utekelezaji ni miezi sita.
Utiaaji saini huo umeshuhudiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Dk Maulid Madeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Uwanja huo Dk Rhimo Nyansaho.
Kujengwa kwa uwanja huo kutasaidia kupunguza idadi za ndege zinazotua ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kusaidia kufungua fursa kwa wilaya na Mkoa wa Mara kwa Ujumla.
Utekelekezaji wa Mradi huo utasimamiwa Mhandisi Mshauri na Kampuni Binafsi ya 7-Engineering kwa kushirikana na Intairplan GMBH na Project Plus (T) LTD, kwa gharama za Sh 1.3 Bilioni ,muda wa utekelezaji ni miezi sita.
Utiaaji saini huo umeshuhudiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Dk Maulid Madeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Uwanja huo Dk Rhimo Nyansaho.
Kujengwa kwa uwanja huo kutasaidia kupunguza idadi za ndege zinazotua ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kusaidia kufungua fursa kwa wilaya na Mkoa wa Mara kwa Ujumla.