Mkataba wa Versailles uliomaliza WWI ilipotiwa sahihi mwaka 1919

Mkataba wa Versailles uliomaliza WWI ilipotiwa sahihi mwaka 1919

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1635765725214.png

Mkataba huu ulitiwa sahihi miaka mitano baada ya kifo cha Archduke Franz Fernand aliyekua mrithi wa Ufalme wa Hungary, Bosnia na Austria, hii ilikua falme moja kabla ya mgawanyiko.

Sababu ya mauwaji ilikua vuguvugu la wanafunzi wa Bosnia waliotaka Bosnia iwe huru kutoka katika utawala wa kifashist wa Ufalme wa Hungry-Austria. Kifo hiki ndicho kiliamsha mapigano na matokeo ya WWI.
Baada ya machafuko kutokea Austria Hungary, Ujerumani ilitangaza vita na Urusi lakini ilivamia Ufaransa na Ubeligiji. Baada ya hapa Uingereza ilitangaza vita na Ujerumani.

Katika mkataba wa Versaille, Ujerumani iloamriwa ilipe fidia ya vita na kuachia Makoloni yake yote.

1635767900968.png
 
Austria na ujerumani na hungari isingekuwa wwi zingekuwa bonge la taifa.
 
Back
Top Bottom