baba junior Senior Member Joined Sep 21, 2012 Posts 143 Reaction score 30 Dec 18, 2012 #1 Nimeliona tangazo la airtel alofanya şharo na mzee majuto leo star tv,je mkataba unasemaje katika hilo.Naomba mnifahamishe wana jamvı!
Nimeliona tangazo la airtel alofanya şharo na mzee majuto leo star tv,je mkataba unasemaje katika hilo.Naomba mnifahamishe wana jamvı!
baba junior Senior Member Joined Sep 21, 2012 Posts 143 Reaction score 30 Dec 19, 2012 Thread starter #2 nifahamishen jaman!
prakatatumba JF-Expert Member Joined Oct 17, 2011 Posts 1,328 Reaction score 191 Dec 19, 2012 #3 Mzee wa TFDA unataka kusaidiwa kitu gani hasa, nakala ya mkataba?kwanini linaonyeshwa start tv na ww umezoea ITV, kwanini linaonyeshwa huku sharo kafa?maslah?unakata kujua mkataba unakuaje baada ya mhusika mmoja wapo kufa?
Mzee wa TFDA unataka kusaidiwa kitu gani hasa, nakala ya mkataba?kwanini linaonyeshwa start tv na ww umezoea ITV, kwanini linaonyeshwa huku sharo kafa?maslah?unakata kujua mkataba unakuaje baada ya mhusika mmoja wapo kufa?