Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,317
- 1,320
Nawasalimu wote.
CHADEMA tulikuwa na wabunge wengi kabla ya ukatili na chafuzi za yule mshamba, tukanyang'anywa kwa Hila, vipigo,vifo, vifungo na mateso.
Haya matatizo na uonevu tulifanyiwa na ccm Hawa Hawa wakiongozwa na jiwe/ kichaa.
Wametengeneza tatizo na wanajifanya kulisolve huu ni ulaghai mkubwa sana wa kisiasa CHADEMA tukikubaliana nao basi watatudharau kweli kweli.
Mtu mwerevu akikubaliana na ujinga kutoka kwa mjinga wote watakuwa wajinga tusikubali na tuseme hapana.
Maridhiano yawe ni juu ya kupata katiba Mpya na SI vinginevyo tusikubali kurudishiwa mkate ( waliouozesha) tulionyang'anywa kwa Hila kwani hiz ni blaa blaa tu.
Mwenyekiti wangu mbowe siasa hizi laini laini kwa ccm ni kupoteza mda . Hakuna maridhiano kati ya anayelia kwa maumivu na ayecheka kwa furaha ya kumsababishia mshindani wake maumivu.
Kama maridhiano ni kwa ajili ya kupewa wabunge hii HAPANA ccm wataendelea kutuchezea rafu wakijua wakituvunja miguu watatupa dawa ya kuchua na tutakenua.
Ikikufaa pia pumzika uenyekiti wa chama vijana wako waendeleze mapambano kwa nguvu na Kasi zaidi kwa mwendo huu ccm hatutawaweza kamwe.
CCM inahitaji siasa za jino kwa jino na sio za kupigwa Kofi shavu Moja na kumgeuzia linguine.
KATIBA MPYA, KATIBA MPYA KATIBA MPYA.
CHADEMA tulikuwa na wabunge wengi kabla ya ukatili na chafuzi za yule mshamba, tukanyang'anywa kwa Hila, vipigo,vifo, vifungo na mateso.
Haya matatizo na uonevu tulifanyiwa na ccm Hawa Hawa wakiongozwa na jiwe/ kichaa.
Wametengeneza tatizo na wanajifanya kulisolve huu ni ulaghai mkubwa sana wa kisiasa CHADEMA tukikubaliana nao basi watatudharau kweli kweli.
Mtu mwerevu akikubaliana na ujinga kutoka kwa mjinga wote watakuwa wajinga tusikubali na tuseme hapana.
Maridhiano yawe ni juu ya kupata katiba Mpya na SI vinginevyo tusikubali kurudishiwa mkate ( waliouozesha) tulionyang'anywa kwa Hila kwani hiz ni blaa blaa tu.
Mwenyekiti wangu mbowe siasa hizi laini laini kwa ccm ni kupoteza mda . Hakuna maridhiano kati ya anayelia kwa maumivu na ayecheka kwa furaha ya kumsababishia mshindani wake maumivu.
Kama maridhiano ni kwa ajili ya kupewa wabunge hii HAPANA ccm wataendelea kutuchezea rafu wakijua wakituvunja miguu watatupa dawa ya kuchua na tutakenua.
Ikikufaa pia pumzika uenyekiti wa chama vijana wako waendeleze mapambano kwa nguvu na Kasi zaidi kwa mwendo huu ccm hatutawaweza kamwe.
CCM inahitaji siasa za jino kwa jino na sio za kupigwa Kofi shavu Moja na kumgeuzia linguine.
KATIBA MPYA, KATIBA MPYA KATIBA MPYA.