Mkate wa ufuta

Yaani ni very easy bt delicious km unapenda sukar km mm... lol
Ila hoo baking paper ni muhimu sababu mkate ni mlaini mno so usipoweka unagandia..
 
Ha ha nimegundua why chapati za jana zilinitosa as sikuvaa pajama langu

Hahahahaha lol kukanda unga si masihara mie nkimaliza najinyoosha mgongo mana hufanya hashuo la kupika mengi nkawapelekea na friend zangu
 
Last edited by a moderator:
Kuweka picha kwa simu ni shughuli mie wala sipotezi muda wangu, kwa mchina ndio inaweza kushindikana kabisa bahati mbaya sijawahi kumtumia mchina. Ukiona nimeweka picha hapa basi ujue nimetumia PC. Msalimie sana TMA.

Subir nkuite BAK labda atakusaidia kukufahamisha hadi uweke hizo picha
 
Kwenye kuupiga shurti uuvalie suruali mi nna suruali special kwa kuupiga.
Hii njia mi naijua as sina oven

Wallah amu umenichekesha, ni kweli watu wengn kuupiga unga wa mkate wa ufuta huwa shughuli pevu kwao.
 
Last edited by a moderator:
Kuweka picha kwa simu ni shughuli mie wala sipotezi muda wangu, kwa mchina ndio inaweza kushindikana kabisa bahati mbaya sijawahi kumtumia mchina. Ukiona nimeweka picha hapa basi ujue nimetumia PC. Msalimie sana TMA.
BAK salam haigombi...ila mm nishatayarisha kibubu..lol
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Kuweka picha kwa simu ni shughuli mie wala sipotezi muda wangu, kwa mchina ndio inaweza kushindikana kabisa bahati mbaya sijawahi kumtumia mchina. Ukiona nimeweka picha hapa basi ujue nimetumia PC. Msalimie sana TMA.

Finally nimeweza kuiweka hio pic inaoneka huyu mchina wa kisasa...lol
Network nayo mtihani!!
 
Kuweka picha kwa simu ni shughuli mie wala sipotezi muda wangu, kwa mchina ndio inaweza kushindikana kabisa bahati mbaya sijawahi kumtumia mchina. Ukiona nimeweka picha hapa basi ujue nimetumia PC. Msalimie sana TMA.


Sawa shukraan
 
Reactions: BAK
LOL!!!! Hahahahaha mie mzima kabisa wa afya namshukuru sana Mungu wetu, I hope you are doing well too πŸ™‚πŸ™‚

Hukumuelewa anachosema salam haigombwi meaning its ok kumsalimia TMA ila yeye ameshataarisha kibubu meaning mahari ya kuleta kwa ajili ya TMA mana yeye ana kidume cha nguvu....so taratibu wapewa tahadhari ati huyu mchumba wa watu na mama mkwe ndo huyo mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…