Mkazi gani wa Dar kaimbwa na Madilu system

Mkazi gani wa Dar kaimbwa na Madilu system

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Kwema wakuu ?
Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar es salaam

Lengo la uzi huu ni kumfahamu huyo bwana alikuwa nani na alikuwa na ukaribu gani na Madilu system kwani nafahamu jina la wimbo Djaffar ni dedication kwa Djaffar mwandido. Pia waliotajwa kama Abdalla shebe hawa ni wakenya

NB
Kwenye wimbo huu theme ni kwamba Madilu anamuaga mkewe kwamba anaenda Kenya kutafuta maisha huko Mombasa ila moyo wake unakuwa mzito kumuacha mkewe nyuma

"Ngai nakati bisanga nakeyi Mombasa .... mayi na miso kotanga ngai lokola Kenya"
 

Attachments

Kwema wakuu ?
Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar es salaam

Lengo la uzi huu ni kumfahamu huyo bwana alikuwa nani na alikuwa na ukaribu gani na Madilu system kwani nafahamu jina la wimbo Djaffar ni dedication kwa Djaffar mwandido. Pia waliotajwa kama Abdalla shebe hawa ni wakenya

NB
Kwenye wimbo huu theme ni kwamba Madilu anamuaga mkewe kwamba anaenda Kenya kutafuta maisha huko Mombasa ila moyo wake unakuwa mzito kumuacha mkewe nyuma

"Ngai nakati bisanga nakeyi Mombasa .... mayi na miso kotanga ngai lokola Kenya"
Isije ikawa ni Anael yule mchaga.
 
HUYU HAPA
dsdsd.jpg
 
Lengo la uzi huu ni kumfahamu huyo bwana alikuwa nani na alikuwa na ukaribu gani na Madilu system kwani nafahamu jina la wimbo Djaffar ni dedication kwa Djaffar mwandido. Pia waliotajwa kama Abdalla shebe hawa ni wakenya
Kwa wabongo walivyo wataanza kujitaja kuwa ndiyo wao
 
"watoto wa mjini" hawajafika hapa mpaka leo ? Wakuu mnaniangusha
 
Kwema wakuu ?
Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar es salaam

Lengo la uzi huu ni kumfahamu huyo bwana alikuwa nani na alikuwa na ukaribu gani na Madilu system kwani nafahamu jina la wimbo Djaffar ni dedication kwa Djaffar mwandido. Pia waliotajwa kama Abdalla shebe hawa ni wakenya

NB
Kwenye wimbo huu theme ni kwamba Madilu anamuaga mkewe kwamba anaenda Kenya kutafuta maisha huko Mombasa ila moyo wake unakuwa mzito kumuacha mkewe nyuma

"Ngai nakati bisanga nakeyi Mombasa .... mayi na miso kotanga ngai lokola Kenya"

Anaitwa Anania. Kaimbwa na wanamuziki wengi sana. Mwanae nae bado anafahamiana nao wanamuziki kibao tu

Mwanae yupo fb. Hutoa makala nzuri za kumbukumbu za zamani. Soma moja hapa chini

Mwaka 1993 Marehemu Baba Yangu Anania Sangura Kupitia Kampuni yake ya African Music Promotion alienda Kinshasa Congo DRC Kumchukua Gwiji wa Muziki Africa Pepe Kalle na Band yake ya Empire Bakuba alipo mleta Pepe Kalle Tanzania huku Timu ya Yanga walikuwa wametoka kuchukua Ubingwa wa Africa Mashariki Nchini Uganda.

Yanga kipindi hicho ilikuwa Chini ya Marehemu Abbas Gulamali ambae alikuwa ndio Rais wa Yanga pia alikua Rafiki Mkubwa wa Marehemu Baba Yangu Anania Sangura

Siku moja Mchana wakati Pepe Kalle bado yupo Tanzania Marehemu Abbas Gulamali akaenda Ofisini kwa Mzee wangu Anania Sangura A&S World Wide Clearing & Fowarding Posta Pembeni ya Haidar Plaza Mzee Gulamali amakuta Pepe Kalle akamwambia Mzee wangu Anania Sangura kuwa Mwambie Pepe Kalle atunge Wimbo kwaajili ya Yanga.

Mzee akamwambia Pepe Kalle akakubali Saa Tisa Mchana wakaenda Kujifungia Diamond Jubilee wakaandika Wimbo Kufika Jioni Saa kumi na Mbili wimbo wa Yanga Africa ukawa umekamilika Ukapigwa Live Baadae baada ya Kuondoka Pepe Kalle akaenda Kurikodi ukatoka na hadi leo Wimbo wa Yanga Africa umekuwa ni moja kati ya Wimbo bora wa Timu ya Yanga
 

Attachments

  • FB_IMG_1723384147377.jpg
    FB_IMG_1723384147377.jpg
    124.1 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1723384131370.jpg
    FB_IMG_1723384131370.jpg
    71.8 KB · Views: 8
  • FB_IMG_1723384224339.jpg
    FB_IMG_1723384224339.jpg
    93.3 KB · Views: 8
Anaitwa Anania. Kaimbwa na wanamuziki wengi sana. Mwanae nae bado anafahamiana nao wanamuziki kibao tu

Mwanae yupo fb. Hutoa makala nzuri za kumbukumbu za zamani. Soma moja hapa chini

Mwaka 1993 Marehemu Baba Yangu Anania Sangura Kupitia Kampuni yake ya African Music Promotion alienda Kinshasa Congo DRC Kumchukua Gwiji wa Muziki Africa Pepe Kalle na Band yake ya Empire Bakuba alipo mleta Pepe Kalle Tanzania huku Timu ya Yanga walikuwa wametoka kuchukua Ubingwa wa Africa Mashariki Nchini Uganda.

Yanga kipindi hicho ilikuwa Chini ya Marehemu Abbas Gulamali ambae alikuwa ndio Rais wa Yanga pia alikua Rafiki Mkubwa wa Marehemu Baba Yangu Anania Sangura

Siku moja Mchana wakati Pepe Kalle bado yupo Tanzania Marehemu Abbas Gulamali akaenda Ofisini kwa Mzee wangu Anania Sangura A&S World Wide Clearing & Fowarding Posta Pembeni ya Haidar Plaza Mzee Gulamali amakuta Pepe Kalle akamwambia Mzee wangu Anania Sangura kuwa Mwambie Pepe Kalle atunge Wimbo kwaajili ya Yanga.

Mzee akamwambia Pepe Kalle akakubali Saa Tisa Mchana wakaenda Kujifungia Diamond Jubilee wakaandika Wimbo Kufika Jioni Saa kumi na Mbili wimbo wa Yanga Africa ukawa umekamilika Ukapigwa Live Baadae baada ya Kuondoka Pepe Kalle akaenda Kurikodi ukatoka na hadi leo Wimbo wa Yanga Africa umekuwa ni moja kati ya Wimbo bora wa Timu ya Yanga
Asante sana Mkuu. Nitafuatilia huko fb kama jamaa ameandika kuhusu madilu pia. Kwa hivo jina lake kwa kifupi aliitwa Anielo ?
 
Asante sana Mkuu. Nitafuatilia huko fb kama jamaa ameandika kuhusu madilu pia. Kwa hivo jina lake kwa kifupi aliitwa Anielo ?

Ana makala nyingi nzuri sana. Na nyingi watu huzi plagiarize na kujifanya wao wameandika
 
Asante sana Mkuu. Nitafuatilia huko fb kama jamaa ameandika kuhusu madilu pia. Kwa hivo jina lake kwa kifupi aliitwa Anielo ?
Mwanae huyu hapa
 

Attachments

  • FB_IMG_1723384235486.jpg
    FB_IMG_1723384235486.jpg
    115.6 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1723384212709.jpg
    FB_IMG_1723384212709.jpg
    105.2 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1723384206415.jpg
    FB_IMG_1723384206415.jpg
    177.7 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1723384199547.jpg
    FB_IMG_1723384199547.jpg
    111.2 KB · Views: 6
1994 Kilimanaro Hotel Dar Es Salaam Marehemu Baba Yangu Anania Sangura na Mzee Zahir Zorro Baba yake Banana Zoro

Marehemu Mzee wangu kupitia Kampuni yake ya Africans Music Promoters hapa alikuwa ameileta Band ya Soukous Stars kutoka Kinshasa Congo

Zahir Ally AbbouBanana
 

Attachments

  • FB_IMG_1723384869225.jpg
    FB_IMG_1723384869225.jpg
    118.6 KB · Views: 7
Back
Top Bottom