Reckon Master
Member
- Nov 7, 2018
- 9
- 5
Neno ujasiriamali si, neno geni miongoni mwetu na kumekuwa na dhana nyingi sana kuhusiana na ni nani mjasiriamali na ni nani ambaye sio mjariamali.
Mjasiriamali katika dhana ya kisasa ni mtu ambaye ni mbunifu au mwanamaendeleo (developer), ambaye anaziona fursa na kutumia nguvu zake, muda wake, na fedha zake kubadilisha fursa hizo kuwa wazo bora la kibiashara ambalo linaweza tekelezeka na kuleta au kumletea manufaa baadae.
Ujasiriamali una faida kubwa kwa mtu mmoja mmoja na mpaka kwa taifa kwa ujumla. Hivo basi, ni lazima mkazo zaidi uweke katika kuchochea ukuaji wa shughuli za kijasiriamali. Mkazo uweke zaidi kwenye ujasiriamali wa vitendo na sio ule wa maneno mengi. Elimu juu ya masuala yahusuyo ujasiriamali iboreshwe zaidi ili ari na uthubutu wa kufanya ujasiriamali uongezeke zaidi.
Ni lazima tuwe wabunifu kila iitwapo leo. Ubunifu na ujasiriamali vinaenda pamoja. Hauwezi kuwa mjariamali mzuri kama utashindwa kuboresha ubunifu wako.
Mjasiriamali katika dhana ya kisasa ni mtu ambaye ni mbunifu au mwanamaendeleo (developer), ambaye anaziona fursa na kutumia nguvu zake, muda wake, na fedha zake kubadilisha fursa hizo kuwa wazo bora la kibiashara ambalo linaweza tekelezeka na kuleta au kumletea manufaa baadae.
Ujasiriamali una faida kubwa kwa mtu mmoja mmoja na mpaka kwa taifa kwa ujumla. Hivo basi, ni lazima mkazo zaidi uweke katika kuchochea ukuaji wa shughuli za kijasiriamali. Mkazo uweke zaidi kwenye ujasiriamali wa vitendo na sio ule wa maneno mengi. Elimu juu ya masuala yahusuyo ujasiriamali iboreshwe zaidi ili ari na uthubutu wa kufanya ujasiriamali uongezeke zaidi.
Ni lazima tuwe wabunifu kila iitwapo leo. Ubunifu na ujasiriamali vinaenda pamoja. Hauwezi kuwa mjariamali mzuri kama utashindwa kuboresha ubunifu wako.