nasri athumani
Member
- Jul 13, 2011
- 64
- 8
Nakuwa baba wa nyumbani
Napika na kupakua kwa raha zangu.
no clear cut answer on this question na sio appropriate ku-generalise kwamba wanaume watareact in the same way... all in all, penzi linaweza kudumu kama limejengwa kwenye msingi imara wa upendo na kuheshimiana bila kujali kuzidiana kwa elimu au kipato
Nakuwa baba wa nyumbani
Napika na kupakua kwa raha zangu.
linaweza kudumu pale utapokubali kuvaa wajibu wa mke na yeye kubaki kuwa kama baba, it will work smoothly. Huna sababu yakujidai kidume wakati bajeti inamtegemea mama..
By Herieth makweta.
MARA nyingi wengi tumekua tukichukulia masuala ya kiuhusiano tofauti na vile ilivyo kawaida
Siku zote wanawake hujitahidi kutafuta wanaume wenye vipato vyao na wangine pia kutafuta wale waliowazidi kielimu. Hata hivyo wanaume wengi wamekua waoga kua na wanawake waliowazidi kielimu na wengine wakiogopa wale wenye vipato vikubwa kuliko wao.
Katika kutafuta usawa wa kifikra,"Mwanamke akikuzidi elimu na mshahara wengi hufikilia wataachwa au kunyanyasika je ni kweli ?"
Nawasilisha wana MMU
By Herieth makweta.
MARA nyingi wengi tumekua tukichukulia masuala ya kiuhusiano tofauti na vile ilivyo kawaida
Siku zote wanawake hujitahidi kutafuta wanaume wenye vipato vyao na wangine pia kutafuta wale waliowazidi kielimu. Hata hivyo wanaume wengi wamekua waoga kua na wanawake waliowazidi kielimu na wengine wakiogopa wale wenye vipato vikubwa kuliko wao.
Katika kutafuta usawa wa kifikra,"Mwanamke akikuzidi elimu na mshahara wengi hufikilia wataachwa au kunyanyasika je ni kweli ?"
Nawasilisha wana MMU
When its her house,her car,her money then its her world and you are just living in it. Source: My father.Kaka lazima nitoke nduki hapo kwani hakuna mapenzi tena!