habari wanajf.ninamdogo wangu anatatizo kumbwa sana kama mwanaume .ameowa kama mara 3 .tatizo kumbwa ni anauume mdogo sana na wanawake wote wanamkimbia kutokana na ile.sasa sijui tumsaidie vp?? aliniomba ushauri nikamwambie aende kwa wachina bila mafanikio yoyote.ila nilisikia kuna mazoezi yanayoweza kusaidia kuongeza uume au dawa ngani atumie ili aishi vizuri kwenye ndoa yake??