Mke amuua mume kisa wivu wa kimapenzi

Haya ya kutuchoma moto aliyeyaanzisha ni Yule Dada wa kichaga !?? Daaah sijui alijifunzia wapi!!!
 
Pole sana Dada utoto unakusumbua ukikua utaona
Nikupe pole wewe unayedhani unanijua...mimi wewe nakuzaa huku nakomenti jf mtoto upo? Mpaka kufikia umri huu nimekutana na mengi ambayo wewe wala huyajui. Nina uhakika siwezi kufanya kama aliyofanya huyu fundi mwenzangu kwa sababu ya wivu tu wa mapenzi...labda kuwe na kitu kingine

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dawa ni moja ukirudi home kama maelewano sio mazuri unatakiwa kufanya msako wa vidumu ndani na nje bila kusahau kwenye banda ka bata na mbwa !!! Ukijiridhisha ndio ulale
 
Unyama kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…