Mke anahitajia

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Habari za majukumu wadau.

Kama kichwa cha habari kinavyojielea, ninahitaji kuwa na mke ilituweze kusaidiana kujenga familia bora.

Sifa za mtu ninayemtafuta:
- Awe wife material (mchapa kazi n.k)
- Awe ana elimu kuanzia Diploma angalau
- umri kuanzia miaka 27 hadi 33
- Urefu wastani (usiwe mfupi sana)
- Umbo wastani
- Rangi yoyote (weupe mtapewa kipaumbele)

Meningine tuta zungumza PM

Sifa Zangu:

- Husband material
- Elimu.- degree
- Umri 36
- Urefu 185 cm
- umbo watsan (kg 90)
- Rangi.- Mweusi (sio ule wa kiwi lakini)
- Mwajiliwa sekta binafsi na mjasilia mali (uwezo wa kutunza 1m upo)

Nawasilisha kwa walio serious
 
Mkuu mbona kama miaka yako na ulichoandika haviendani?36!!!!!! Afu unajihita wafe material ? Sorry husband material?
 
Kuna wakati kukaa kimya ni kuzuri
Waliokeka jukwaa hili walijua kuna uhitaji mkubwa.Kazi kuponda majukwaa ya love connect na unashinda kutwa humu
Asante sana kunisaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…