selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 463
- 634
Ndo nasubiri tu kuvaa joho. Tatizo nimeover-qualify umri na yeye anataka kabinti katekechu mweehHeaven Sent ule ualimu ulokuwa unasomea haujamaliza tu mama?
Maza confessor shikamoo!Me mwalimu wa sunday school..
My sonπππMaza confessor shikamoo!
Loohπππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me mwalimu wa sunday school..
ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maza siku yangu leo imekuwa mbaya baada ya siri kali kuunga mkono juhudi za mashoga![emoji4][emoji4][emoji4]My son[emoji7][emoji7][emoji7]
Mar'habaa...vipi siku yako leo?
naona unataka kuchangamkia fursaLoohπππ
Labda anagawa madarasa bure jee...ndio maana anataka mwalimu,.fursa hiyoπnaona unataka kuchangamkia fursa
Labda anagawa madarasa bure jee...ndio maana anataka mwalimu,.fursa hiyoπ
Hee juhudi za mashoga?ndio zipi??Maza siku yangu leo imekuwa mbaya baada ya siri kali kuunga mkono juhudi za mashoga![emoji4][emoji4][emoji4]
ArchdukeKasema mke anatafutwa haraka ila ingependeza angekua mwalim, mwenyewe mwalim wa qur'ani sjui atanifikiriaje