Toromeeeeeee
Member
- Nov 25, 2019
- 7
- 3
Mimi mcha MunguWewe una sifa zipi nijipime kama utafaa?
[emoji4]Dah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni[emoji30]
acha kuchagua chagua, mbona icho sio kigezo muhimu na wewe financialer!Dah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni[emoji30]
Hahaaa, unataka nikitoka out na mume wangu ,wanambie nimetoka na last born wangu eeh[emoji35] [emoji3]acha kuchagua chagua, mbona icho sio kigezo muhimu na wewe financialer!
don't do that to him, bhana! utampata wapi aliye perfect kwa kila kitu! unaweza mpata mlefu akakuoa lakini ukawa mke wa tatu! unasemaje?Hahaaa, unataka nikitoka out na mume wangu ,wanambie nimetoka na last born wangu eeh[emoji35] [emoji3]
Don't take it too serious mkuu, nilikua natania tu, btw umemuuliza yeye anataka warefu kumzidi?, maana kuna wakaka wengine hawapendi kuzidiwa urefu na wake zao. Vipi wewe mwenyewe unakimo kile eeh(si Kwa utetezi huu)don't do that to him, bhana! utampata wapi aliye perfect kwa kila kitu! unaweza mpata mlefu akakuoa lakini ukawa mke wa tatu! unasemaje?
mimi mlefu wewe, zaidi hata yakwako!Don't take it too serious mkuu, nilikua natania tu, btw umemuuliza yeye anataka warefu kumzidi?, maana kuna wakaka wengine hawapendi kuzidiwa urefu na wake zao. Vipi wewe mwenyewe unakimo kile eeh(si Kwa utetezi huu)
the probability of getting the wrong women is higher than what you expect. kwani wewe unaishi wapi mkuu? vitu vingine hivi ni bora tukusaidie kimawazo!Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu
Sifa
●Mcha Mungu na mpenda maendeleo
●Umri miaka 18-30
●Mrembo mweupe au mweusi mwenye shape atapewa kipaumbele
●Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
●Mkweli na mtulivu fursa itakuwa yake
Nichek pm kwa aliyeserious tu
ok,come and join me, i'm beyond requirements.Don't take it too serious mkuu, nilikua natania tu, btw umemuuliza yeye anataka warefu kumzidi?, maana kuna wakaka wengine hawapendi kuzidiwa urefu na wake zao. Vipi wewe mwenyewe unakimo kile eeh(si Kwa utetezi huu)
No thank you, I don't want to be your 3rd wife mkuu[emoji30]ok,come and join me, i'm beyond requirements.
Mkuu wewe Kwa utetezi ule ,nimepata picha kimo chako[emoji3] [emoji3] , mi ni mrefu sana yaniimimi mlefu wewe, zaidi hata yakwako!
Hi Doctor wa kienyeji!, how's your Sunday?[emoji44][emoji44][emoji44][emoji116][emoji116]
. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No thank you, I don't want to be your 3rd wife mkuu[emoji30]
Dah...mwanaume anahitaji sifa 2 tu...Wewe una sifa zipi nijipime kama utafaa?