Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
[emoji3] me sijui nifanyaje nipungue aisee.
Jamani sorry vitumbua eater, jiaminiii
Aisee, unapenda angekua kidogo mfupi kwako eeh, huwa inapendeza ila Kama mnapendana haina mbaya, jiamini mnapendana bana.
Cc goldcall
Bad enough, mademu wafupi siwapendi eti. Yaani wale ambao nalingana nao height au kuwazidi sitaki kabisaa[emoji3064]
Ukikutana na manzi wote warefu raha sana[emoji3] umzidi kidogo tu.
huwezi kunizidi! hakika!Mkuu wewe Kwa utetezi ule ,nimepata picha kimo chako[emoji3] [emoji3] , mi ni mrefu sana yanii
i'm alone!No thank you, I don't want to be your 3rd wife mkuu[emoji30]
Kimo cha kati haimaanishi ufupi ila sio mrefu sana wala.mfupiToromeeeeeee, Dah, uko vizuri ila hapo kwenye kimo am a super tall,utakua unanifikia tumboni[emoji30]
Hii ni kuonesha jinsi gani nilivyo serious lakini haina maana ya kwenda kimwendo kasiKama anahitajika haraka nenda kamfate ,lo nani anapenda kwenda ki mwendo kasi hivyo jipange kwanza hakuna mwanamke rahisi hivyo
Labda mkimbizi
Anzisha Uzi wako sasa, Uzi aanzishe mwenzako ,unataka ujipatie jiko wewe dahi'm alone!
automatic redirected!Anzisha Uzi wako sasa, Uzi aanzishe mwenzako ,unataka ujipatie jiko wewe dah
Ok and It's also declined automatically!automatic redirected!
error, let refresh, may be captured please wait.......................Loading.Ok and It's also declined automatically!