Msemaji wa sekta uko vizuri hongera sana😁😁😁Ngoja nisome vigezo ninafittttt
Poor Brain NJOO nisaidie u jobless na kula Bure na kulala Bure kunanikosesha mume 😭😭😥😥😥Mimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
😂😂😂 kapigwa sana matukio kachoka🤣🤣 ogopa mtu asiye eleweka anataka mwenza dini yoyote. Hapana dini inaitwa yoyote, ndio maana kuna Eva na Hawa
lazima tule ubwabwa😂Msemaji wa sekta uko vizuri hongera sana😁😁😁Ngoja nisome vigezo ninafittttt
Aliyekwambia dini Fulani hatendi dhambi nani? Yesu mwenyewe alisema dini ya kweli ni Ile inayojali shida za watu. Mfano, kuwa na matendo mema. Sasa kama wewe dini yako inahalarisha matendo mema, hiyo ni yakumcha Mungu. Hivyo unafaa.🤣🤣 ogopa mtu asiye eleweka anataka mwenza dini yoyote. Hapana dini inaitwa yoyote, ndio maana kuna Eva na Hawa
Kwa Nini?😁😁😁Ndo maaana nlimkataza demu wangu asijiunge jf
Kuna wadada wakiskia ndoa mirija ya akili inaacha kufanya kazi.... imagine nimetoka kumzingua akutane na hili tangazoKwa Nini?😁😁😁
😂😂😂Yaani kifupi unataka kusema anataka Bora anayepumua?🤣🤣 ogopa mtu asiye eleweka anataka mwenza dini yoyote. Hapana dini inaitwa yoyote, ndio maana kuna Eva na Hawa
🤣🤣🤣Labda awe mgeni wa JF..mzoefu tushazoea hamna kitu mara nyingiKuna wadada wakiskia ndoa mirija ya akili inaacha kufanya kazi.... imagine nimetoka kumzingua akutane na hili tangazo
We usisome comments hapa ukaamini, kina ahmelo watakua huko piem wanapambania fursa lakn hapa wanaponda🤣🤣🤣Labda awe mgeni wa JF..mzoefu tushazoea hamna kitu mara nyingi
Mmmh kaka samahani unatulisha matangopori,Yesu alisema wapi hayo maneno?🤔Aliyekwambia dini Fulani hatendi dhambi nani? Yesu mwenyewe alisema dini ya kweli ni Ile inayojali shida za watu. Mfano, kuwa na matendo mema. Sasa kama wewe dini yako inahalarisha matendo mema, hiyo ni yakumcha Mungu. Hivyo unafaa.
😁😁😁Kumbe ni mshangazi, ngoja niongee nae maaana ya Mungu mengi...huenda nateseka tu kumbe nyota yangu ipo kweny mapenzi🤣🤣🤣 Amehlo huyuhuyu mshangazi mwenzangu?