Karibu tuonane USO Kwa USO nauli nitakuagizia. Na hela yakutolea nitakupa.Ndo utafute online?
khaaaaa we ntakupa mdogo angu tuliafanya fanya bas apatikane japo mmoja na mimi wa kusogeza nae siku si unajua stress zinaua?
Tena kwel acha asome amalize kwanzakhaaaaa we ntakupa mdogo angu tulia
Mimi ni kidume wewe acha ugai gaiKaribu tuonane USO Kwa USO nauli nitakuagizia. Na hela yakutolea nitakupa.
Usiogope kichamboNingekuja pm mkuu, sema unachamba sanaa mkali kama pilipili
relax kabisaTena kwel acha asome amalize kwanza
ππππππ Kwani watu bado wanaishi hivi πππUko tayari kukaa home na kulea watoto wenu kwa upendo huku ukimuachia mume akitimiza majukumu yake kuwatunza?
πππππππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Daaaah ila wewKuna wadada wakiskia ndoa mirija ya akili inaacha kufanya kazi.... imagine nimetoka kumzingua akutane na hili tangazo
Swali muhimu sana hiliSasa mbona hujasema wewe unafanya issue gani inayokuingizia kipato, ila unayetaka kumuoa awe na kazi??
Hali si haliπππππππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Daaaah ila wew
Nan alikwambia mm malaikaπ kwanini mzinguane na nyie ni malaika?
Naruhusiwa kuwa na waume wawili Kwa mpigo?
Kama unakaribia kustaafu utanifaa..Nipe age unayotaka huenda tukalandanπ
Aliyesema hayo maneno ni Yakobo,sio Yesu.....soma waraka wa Yakobo 1:27Soma maandiko matakatifu.
Yesu ndiyeojo,,hoAliyesema hayo maneno ni Yakobo,sio Yesu.....soma waraka wa Yakobo 1:27
Kwa hiyo Yesu hakuwahi kuhubiria watu juu ya matendo mema? Soma Injili zote.Aliyesema hayo maneno ni Yakobo,sio Yesu.....soma waraka wa Yakobo 1:27