Mke anahitajika sasa

Mke anahitajika sasa

mylove2025

Member
Joined
Dec 30, 2024
Posts
6
Reaction score
4
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
 
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
Kila la heri katika utafutaji wako
 
Kasongo wewoo nangali nangali kasongo mbona wewooo mbn wewoooooo.
 
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
50yr wewe ni sawa na baba angu mkuu, kila la kheri mungu akutangulie
 
Oa haraka😹bado kidogo uitwe na baba

Una hela I'm asking for a friend

🤣
 
Back
Top Bottom