mylove2025
Member
- Dec 30, 2024
- 6
- 4
Kila la heri katika utafutaji wakoKama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
Ahsante.Kila la heri katika utafutaji wako
Unataka single, au single na self container zake mkuu 😅natafuta chumba
50yr wewe ni sawa na baba angu mkuu, kila la kheri mungu akutangulieKama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
unatafuta mwanaume mwenye hela, kutafuta mwanaume mwenye hela sio jambo baya una uhuru wa kuchagua.Oa haraka😹bado kidogo uitwe na baba
Una hela I'm asking for a friend
🤣
Dogo nani kakuuliza?50yr wewe ni sawa na baba angu mkuu, kila la kheri mungu akutangulie
nani kakutuma ujibuDogo nani kakuuliza?
We bangi sananani kakutuma ujibu
Nimekupima nimekuona huna akili za kutosha sijui huyo utakae ingia nae kwenye ndoa itakuwaje kila la kheri mkuu.We bangi sana