Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Halafu kasema zile baby steps hataruka hata moja!![emoji1][emoji1][emoji1]........what a wonderful man!......rafiki ungekuwa huna mume ningekuunganisha na huyu!![emoji1] [emoji1] [emoji1]kila la kheri kaka huna ata mambo mengi ningekua sina mume ningekuja tuyajenge tutoane upweke
acha tu rafiki mbona ningeshajipeleka mwenyewe pm ndio hivyo nimeshawahiwaHalafu kasema zile baby steps hataruka hata moja!![emoji1][emoji1][emoji1]........what a wonderful man!......rafiki ungekuwa huna mume ningekuunganisha na huyu!![emoji1] [emoji1] [emoji1]
Rafiki mimi kwa kuruka baby steps sijambo!.......Sijui hata huwa nina mashetani gani!acha tu rafiki mbona ningeshajipeleka mwenyewe pm ndio hivyo nimeshawahiwa
Mbona wako wa 40+ bado wapo wapo, usimfanye apanic bure.Ila mzee umenitisha 37...ujaoa doh,ngoja nijipange mungu aniongoze kabla sijafika uko,..
Mbona wako wa 40+ bado wapo wapo, usimfanye apanic bure.
Mradi mtoto apatikane tu na umpe malezi na elimu lakini usitegemee sana kuona wajukuu kama 45 bado huja settle down.Duhh ii inasabbishwa na nn,mi saw nimepitia maumiv makali kweny mapenz nipo kweny recovery process, najua nikizidisha maombi mungu atanipa naestaili,..ila 40+ huna at a mtoto duh!
Wachaa wee[emoji6]kila la kheri kaka huna ata mambo mengi ningekua sina mume ningekuja tuyajenge tutoane upweke
Ila mzee umenitisha 37...ujaoa doh,ngoja nijipange mungu aniongoze kabla sijafika uko,..
Kuna wazee wanahonga 50 kasoro hawana hata mtoto.usimprresirize mwenzio.Ila mzee umenitisha 37...ujaoa doh,ngoja nijipange mungu aniongoze kabla sijafika uko,..
Mradi mtoto apatikane tu na umpe malezi na elimu lakini usitegemee sana kuona wajukuu kama 45 bado huja settle down.
Kuna wazee wanahonga 50 kasoro hawana hata mtoto.usimprresirize mwenzio.
Mchagua sana nazi hupata koroma.Ivi kwa nn watu especially men wanashindwa kusettle,..
Kuna wazee wanagonga 50 kasoro hawana hata mtoto.usimprresirize mwenzio.
Mchagua saba nazi hupata koroma.
Kumbe lengo lako ni kujaribu tu?!. duh!.Ukifika hapo unakuwa stable na mature, jaribu uone. Ndiyo maana wadada wengi wanatutafuta wenye umri huu π, natania usije lia
Ukifika hapo unakuwa stable na mature, jaribu uone. Ndiyo maana wadada wengi wanatutafuta wenye umri huu π, natania usije lia