Mke anahitajika

Mke anahitajika

mbenda said

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
1,084
Reaction score
2,074
Habarai wana jamii , kuna rafiki yangu , alinipa kazi ya kuwa mshenga ,( kupeleka barua ya uchumba kwa wazazi wa binti) mm nikakubali nikaandika barua na ikapangwa siku ya kupeka, ilipofika cku ya kupeleka barua bint akasema hayupo tayali kwa hiyo ikawa imekwisha hiyo.

Sasa anaitajika mwanamke hapa , sifa za binti
Muislam
Mweupe
Mchamungu
Watoto wasizidi 2
Umri miaka 25-40,

Mwanaume ni muislam. Asili yake Arusha,

Ana mke na watoto 2

Familia umekubali aongeze mke WA pili,
Mwanaume kwa sasa yupo dar kimasomo
Muarijiwa selikalini
Kwa sasa anasomea udaktali
Mwanamke aliokuwapo dar atapewa kipaumbele zaid
ALIEKUJA TAYALI AJE MP

HII MADA NYINGINE
JUMAPILI YA TRH 27 KUNA JAMAA WAPO DAR WANAENDA MORO 'WANAITAJI MWAMKE MMOJA TU WA KUWAPA KAMPAN WATALALA HUKO WANATUDI J 3 AU 4 UTAPEWA POSHO JAPO SIO PESA NYINGI KAMA KUNA MWANAMKE YUPO TAYALI AJE MP,
 
Cheki la shilole,wema sepetu,shamsa ford hpo lazima ashike wake
Huyu anafanya biashara haramu hadharani.

Halafu pia hela hakuna.


Narudia hakuna mwanaume mwenye hela akahangaika kupata mwanamke au hakuna mwanaume mwenye hela akawa kuwadi.

Yaani kabisaa na mbupu mbili ukute pia ana limashine likubwaaaaaaaaa anakuwadia wanaume wenzake waende wakatie.


Huyu ana walakini.
 
Huyu anafanya biashara haramu hadharani.

Halafu pia hela hakuna.


Narudia hakuna mwanaume mwenye hela akahangaika kupata mwanamke au hakuna mwanaume mwenye hela akawa kuwadi.

Yaani kabisaa na mbupu mbili ukute pia ana limashine likubwaaaaaaaaa anakuwadia wanaume wenzake waende wakatie.


Huyu ana walakini.
Aisee🚶
 
Dah! ivi Ni wanaume wanawashusha thamani wanawake au Ni wanawake wanajishusha thamani wenyewe?

Kama mada hii inaonyesha jinsi mwanamke alivyokuwa Bei rahisi ndani ya jamii.
 
Hivi haya matangazo ya kutafuta mke huwa ni serious kweli?
 
Back
Top Bottom