Rotika
Member
- Jan 9, 2022
- 10
- 20
Wasifu wangu.
Mrefu
Mwembamba
Dini -Mkirsto
Kazi -Mwajiliwa serikalini
Umri 32
Situmii kilevi chochote
Natokea Nyanda za juu kusini
Awe na sifa zifuatazo
1.Mkirsto
2.Mfanyakazi/Amejiajili
3.Umbo la wastani
5.Asiwe na mtoto
6.Atokee Dar, Morogoro /Pwani kwani mojawapo ya hiyo mikoa ndio ninakofanyia kazi.
7.Awe tayari kupima
Mengi tutasemezana na kufahamiana zaidi.
Mrefu
Mwembamba
Dini -Mkirsto
Kazi -Mwajiliwa serikalini
Umri 32
Situmii kilevi chochote
Natokea Nyanda za juu kusini
Awe na sifa zifuatazo
1.Mkirsto
2.Mfanyakazi/Amejiajili
3.Umbo la wastani
5.Asiwe na mtoto
6.Atokee Dar, Morogoro /Pwani kwani mojawapo ya hiyo mikoa ndio ninakofanyia kazi.
7.Awe tayari kupima
Mengi tutasemezana na kufahamiana zaidi.