Nje kidogo ya jiji la Arusha ndo wapi huko?Mwanamke aliye na mapenzi ya dhati,mcha Mungu(muislam),mtafutaji,elimu level yoyote kuanzia ngazi ya secondary,kama ana kazi ni added advantage,mm ni muajiliwa serikalini nna ishi nje kdgo ya jiji la Arusha umri wngu ni miaka 32,mweusi kdogo kwa alie na sifa hzo plz tukutane PM
Sent using Jamii Forums mobile app