Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Ni kwa sababu huo uume ndiyo unamfanya aitwe mwanaume na kumtia jeuri, kwa hiyo ili kuondoa hhiyo jeuri, wanawake wanaamua kuingóa hiyo dudu.
Kwa hapa kwetu, kama una mke anatoka Kilimanjaro (mk.....), Arusha (mm.....) na Singida (mn.......) halafu akakufumania na totos ingine, hakikisha unalinda sana hiyo dudu yako hata ikiwezekana lala na jeens na usipige ulabu kwa wiki nzima vinginevyo hiyo kitu itangólewa.
ha ha ha.... mbavu sina mimi.... hiii kali.... jeans... Dah!
Without that dudu atatulia tu nyumbani! Dah sasa mfano ikatokea.....,let me stop thnking abt that manake.,!
Wala usicheke, hii ni tool muhimu hata kuliko mikono, sasa ikingólewa utatumia nini kufanya kazi zako muhimu?
Rutashubanyuma... if you have no Junior.... Are you man??
Ukipata jibu you will know kua ogopa a woman scorned.
Ni kwa sababu huo uume ndiyo unamfanya aitwe mwanaume na kumtia jeuri, kwa hiyo ili kuondoa hhiyo jeuri, wanawake wanaamua kuingóa hiyo dudu.
Kwa hapa kwetu, kama una mke anatoka Kilimanjaro (mk.....), Arusha (mm.....) na Singida (mn.......) halafu akakufumania na totos ingine, hakikisha unalinda sana hiyo dudu yako hata ikiwezekana lala na jeens na usipige ulabu kwa wiki nzima vinginevyo hiyo kitu itangólewa.
Wala usicheke, hii ni tool muhimu hata kuliko mikono, sasa ikingólewa utatumia nini kufanya kazi zako muhimu?
mimi huwa nalala mwenyewe...........I fear the wrath of a woman.........................nisije nikaachwa kwenye mataa...........................because without my juniour I m finished kaputi kabisa........lol Muumba apishilie mbali hilo balaa...................
Na yeye mwanamke akinifanyia uhuni nampiga Supa glu. So ngoma inakuwa drooRutashubanyuma... if you have no Junior.... Are you man??Ukipata jibu you will know kua ogopa a woman scorned.
Najua saaana ni tool muhimu... kilichonichekesha ni ile hali mwenye nayo kuilinda mpaka kulalia Jinsi... ukifika that stage si bora usepe....lol
Na yeye mwanamke akinifanyia uhuni nampiga Supa glu. So ngoma inakuwa droo
Rafiki yangu ruta sasa ndo umeleta nini? Hapa tuna mademu zetu ambao kwa namna mmoja au nyingine huenda hawakuwa na hayo mawazo, nahisi kwa hizo taarifa wataanza kufanya. Mh mi nawaogopa na kuwaheshimu sana hawa viumbe, wakiamua kufanya kitu huwa wanafanya kweli, baadhi yao huwa hana hata chembe ya huruma.
Na yeye mwanamke akinifanyia uhuni nampiga Supa glu. So ngoma inakuwa droo