mdharau mwiba humchoma ni afadahali nikjihami mapema..........................huwezi kujua what goes on in human mind............hasa katika hii dunia ya kukomoana.................
Hapana mi nataka tuhalalishe, kama wanaume tunakatwa basi wanaume pia tuamke, tuhifadhi Super glue.ha ha ha... soma tu hapa kwenye post... usisikie kukatwa wewe... hutakumbuka hata jina lako...
Super glue ndo dawa yao! Nimeng'ang'nia hiyo.waswahili husema knowledge is power.................waache wapange lakini na sisi tupange namna ya kujihami....................lol
Are you SERIOUS??? Yaani usiwe karibu na mwanamke kwa uoga wa kukatwa... au ushawahi jaribiwa? lol
ya nini umkate akifa je si utakuwa umejifunga mwenyewe??kuna mtu ametuchekesha kwenye sehemu yetu ya kutafutia rizki eti anatafuta dawa mume wake akienda nje tu mtarimbo unalala doro,hiyo mnaionaje si afadhali eeeeeeee....... kuliko kukatwa jamani au!
Super glue ndo dawa yao! Nimeng'ang'nia hiyo.
Ni unyama na ukatili wa hali ya juu..marriage terrorist,lol!!
Crazy, Psychopath, Hana Huruma, Katili, Menace to Society...., na mengine mengi
Akijifanya bingwa wa kuitembeza unaifyeka kwa nia nzuri tu ya kumfanya atulie nyumbani maana hiyo ndio iliyokuwa inamsumbua na kumuongezea nyendo. Ukiifyeka hata afya yake itarudi maana mwili utakuwa na excess storage ya protein. lol.)
Kuwaogopa kama ukoma...!!!you are dead right but what do we do about them?
Mtu akiiba, akatwe mkono. Akitoka nje ya ndoa akatwe.......! Isn't that right?
Sawa ameung'oa, nitatulia nyumbani, Je yeye atahudumiwa nani nyumbani akihitaji?. Hizo ni hazira tuu za wakati huo lakini ninaamini kuwa ataijutia baada ya muda mfupi.
Uwiii! Hivi uking'olewa ule mwanaume anaweza kuendelea kusurvive?