Mke anashinikiza talaka ili anufaike mgao wa mali, imekaaje hii kisheria?

Joined
Jul 8, 2014
Posts
74
Reaction score
7
Jamani wanajamii kuna kaka yangu anasumbuliwa sana na mke wake na anachohitaji yeye ni mume wake ndiye aende mahakamani na kuhitaji kutoa taraka ili apewe masharti magumu iwe faida kwake. Kitu kingine ni kwamba imefikia hatua ameficha hadi vyeti vya kazi. Na sasa anamwambia yuko radhi kumdhuru kaka.

Kisa na mkasa ni kua shemeji yangu alipata mimba kutoka kwa mwanaume mwingine alafu akampakazia kaka. Bahati nzuri au mbaya kwake yule mtoto akazaliwa katika tarehe ambazo kaka hakuzitarajia hivyo akamwambia mkewe huyu kijana si wangu.

Basi ishakuwa shida mjini. Jamani naomba ushauri..
 
na huyo kaka yako ni bubu? we ndo msemaji wake? mambo yao, mapatano yao ulikuwepo? hujiulizi ni kwa nini kaka yako hachukui juhudi zozote za kumshtaki mkewe? nakushauri mambo ya mke na mme usiyaingilie, wakipatana utabaki na aibu!.
 
Jibu we mwambie kaka yako afanye maamuzi sahihi kama kubaki naye au kumuacha lakini kati ya hayo maamuzi baadae asije kujutia huo ndo ushauri wangu
 
brother amesha mgusia swala hilo. shem hataki .

kama ana cheti cha kuzaliwa mtoto au proof ya kuonyesha ye ni baba anaweza kwenda nae..kma vipi anaweza chukua nywele ya mtoto au hata mswaki akaenda nayo kupima DNA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…