Mke Asiye na bwana

Mkuuu nmemaliza kusoma kunamahali nikaishia kucheka ..safi sana ,,hukutaka kujivunga nahuo ndo uanamme !!...elezea utakavyomaana weee ndo mchaguzi , nilichokukubali zaidi nipale ambapo hujaweka kigezo chamwanamke kua nakazi naumemuachia Mungu .nahuu ndo uanamme.

Wanakuja mkuuu kweli kuna baadhi humu wanakiu nandoa nawanaomba sana wapate ndoa !!.

Upate sawSawa nahitaji lako
 
Asante.

Kuna wachache wanadhani natania.

Ï am Very serious.

Sifa kama mtu hana anyamaze.

Bora kukosa kuliko kugomba.
 
Asante.

Kuna wachache wanadhani natania.

Ï am Very serious.

Sifa kama mtu hana anyamaze.

Bora kukosa kuliko kugomba.
Yaaah nmeliona ilo ,,umeandika ktk muktadha ya mwenye nia ndo anapata.

I believe sooo atakuja mwenye nia Mkuu !!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…