Mke hawezi kukaa kwa mume ambaye si mwanamume kweli

Nikikwambia kuwa umelishwa Limbwata utasema kuwa nakusingizia.

HAYA ENDELEA NA UJEURI WAKO.

PambanaZaidi/CottonandMore
 
sijasoma ni ndefu mno kama kuna anayeweza kuisamaraizi ili na wengine tukoment
 
Mwanamume akipigwa na mkewe hatakiwi kulia wala kumrudishia.
Kah! mwanaume anapigwaje na mke sasa, yaani huyo mke anaanzia wapi kuinua mkono wa kumpiga mumewe? hebu ongeza nyamanyama hapo
 
Natafuta Ajira
 
Kah! mwanaume anapigwaje na mke sasa, yaani huyo mke anaanzia wapi kuinua mkono wa kumpiga mumewe? hebu ongeza nyamanyama hapo
Mfano umeongeza mke wa pili na habari akazipata ghafla bin vuu.Anachofanya ni kiunua chochote na kukurushia.
 
Mfano umeongeza mke wa pili na habari akazipata ghafla bin vuu.Anachofanya ni kiunua chochote na kukurushia.
atapigwa mpaka achakae, kwani natumia kiungo chake, si natumia changu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…