Wamepata watoto?Jamani wataalam wa afya,nimeletewa case hii. Mke na mme wamepima HIV. Mke positive ila mme negative.Yaani tokea waoane miaka kumi iliyopita mke alikuwaga hataki kabisa kwenda Clinic. Hivyo inamaanisha Mwanaume alikutana na huyu mwanamke. Mwanamke alikuwa tayari ni HIV +.Miaka 10 wameishi. Mwanaume hajaambukizwa. Hebu tudiscuss hili wataalam wa afya.
Chemokine CCR5 ndiyo microphage receptors anae karibisha HIV.Niliwahi kuhudhuria workshop moja miaka ya nyuma, mwezeshaji katuambia kwamba mtu mwenye white blood cell receptors ambazo zina "ulemavu mzuri" kwa maana ya kwamba haziwezi kupokea virusi vya HIV hawezi kuambukizwa ugonjwa huo!!
kutoka: 22D Arnold st.
NAOMBA KUJUA NI DAWA GANI?/ MBINU GANI YA KUFANYA ILI WHITE BLOOD CELL RECEPTORS ZIWE NA ULEMAVU MZURI NAMI NISIPATE HAYO MARADHI!Niliwahi kuhudhuria workshop moja miaka ya nyuma, mwezeshaji katuambia kwamba mtu mwenye white blood cell receptors ambazo zina "ulemavu mzuri" kwa maana ya kwamba haziwezi kupokea virusi vya HIV hawezi kuambukizwa ugonjwa huo!!
kutoka: 22D Arnold st.
uongoKupata HIV ni mpaka cell receptors zipokee virus.
ndiom porojo zao hizi ili ku prove uongo wao wa nadharia ya HIVNiliwahi kuhudhuria workshop moja miaka ya nyuma, mwezeshaji katuambia kwamba mtu mwenye white blood cell receptors ambazo zina "ulemavu mzuri" kwa maana ya kwamba haziwezi kupokea virusi vya HIV hawezi kuambukizwa ugonjwa huo!!
kutoka: 22D Arnold st.
Ukweli ni upi?uongo