Mke HIV positive na Mume HIV negative

Mke HIV positive na Mume HIV negative

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
nimekuwa nikisoma, sikia na sehemu nyingine nimethibisha kuona moja kati ya wanandoa ameathilika yaani HIV positive na hasa mwanamke na mwanaume kuwa HIV negative licha ya kuwa walikuwa kwenye mausiano ya kimapenzi yasiyo salama yaani bila kutumia kondomu na hata kubahatika kupata watoto kwa muda mrefu. mfano mzuri ni uzi uliokuwepo hapa kama wiki iliyopita ukiomba ushauri kuwa nyumba ndogo imeathirika na yeye mzima

hoja yangu
  1. je, ni kweli inawezakana wanandoa ambao wanawatoto mmoja wapo akaathirika na mwingine akawa hajaathirika?
  2. Je, hivi vipomo vyetu sio vya kichina/fake
  3. kama inawezekana watu hawa uhusiano wao kimapenzi utakuwaje ikizingatiwa wao ni wana ndoa?
  4. kama wanataka kupata watoto wafanyaje ili wapate watoto ambao ni HIV negative
Doctors na wenye uelewa wa maswali hayo mmanakaribishwa kutoa mawazo
 
Hili jambo linawezekana sana kuwa mmoja anao na mwingine hana, maumbile ya kike yanarisk kumbwa sana ya kupokea vijidudu kuliko ya kiume, swala kutafuta watoto hapo linakuwa halipo cos itabidi waishi huku wakitumia mpira
 
Hili jambo linawezekana sana kuwa mmoja anao na mwingine hana, maumbile ya kike yanarisk kumbwa sana ya kupokea vijidudu kuliko ya kiume, swala kutafuta watoto hapo linakuwa halipo cos itabidi waishi huku wakitumia mpira
thanx
lakini yataka moyo kufanya mapenzi na mtu aliyeathirika hata kama utatumia kondom
busherere inaweza isisimame
 
  • Thanks
Reactions: awp
thanx
lakini yataka moyo kufanya mapenzi na mtu aliyeathirika hata kama utatumia kondom
busherere inaweza isisimame
inabidi ujasiri na upendo wa hali ya juu cos hapo manonjo hamna, itabidi utumie amri ya kikurya wee mama nanii kaa vizuri nikurenge, ukirenga unageuka upande wa pili au unahama kitanda fasta.
 
inawezekana kabisa kama ilivyosemwa hapa mwanamke kwa maungo yake ni rahisi kuambukizwa kuliko mwanaume, halafu HIV inatumia zaidi michubuko so kama mnaweza kufanya sex bila michubuko at all then risk ya HIV inakua imepungua sana.
 
Discordant couples hutokea. Just google DISCORDANT COUPLES or LIVING DISCORDANCE you'll all the information you want related to that.
 
Back
Top Bottom