Wanajamvi habari za mapambano ya kimaisha.
Nikienda kwenye lengo kuna tukio nilisimuliwa, iwapo likikutokea nivyema kuchukua tahadhari gani?
Nyumbani kuna kuku, baba/Mume anasema amekwema kimichongo, mama anasema toa hela tuchinje kuku kama huna kuku wa hapa nyumbani hatolewi kwa kitoewo cha nyumbani.
Nakuendeleza kusema bila hivyo hakuna kula nyumbani.
Nimepata hasira kwa simulizi hiyo hadi kuandika nimeshindwa
Kwenu wadau.
Nikienda kwenye lengo kuna tukio nilisimuliwa, iwapo likikutokea nivyema kuchukua tahadhari gani?
Nyumbani kuna kuku, baba/Mume anasema amekwema kimichongo, mama anasema toa hela tuchinje kuku kama huna kuku wa hapa nyumbani hatolewi kwa kitoewo cha nyumbani.
Nakuendeleza kusema bila hivyo hakuna kula nyumbani.
Nimepata hasira kwa simulizi hiyo hadi kuandika nimeshindwa
Kwenu wadau.