Aisee, hivi mnawatoa wapi wa nana hiyo mkuu, mambo ya ajabu ajabuWanajamvi habari za mapambano ya kimaisha.
Nikienda kwenye lengo hivi tukio nililo simuliwa likitokea nivyema kuchukua tahadhari gani?
Nyumbani kuna kuku baba/Mume anatoa amekwema kimichongo mama anasema toa hela tuchinje kuku km huna kuku wa hapa nyumbani hatolewi kwa kitoewo cha nyumbani
Nakuendeleza kusema bila hivyo hakuna kula nyumbani.
Nimepata hasira kwa simulizi hiyo hadi kuandika nimeshindwa
Kwenu wadau.
Mwanamke kagoma. Watoto wanalia njaa yeye kakomaa anataka helaHuyu kuku ingewezekana achemshwe tu [emoji41]
Wapo mtaani humu kabla hawaoneshi makucha.Aisee, hivi mnawatoa wapi wa nana hiyo mkuu, mambo ya ajabu ajabu
Sasa si useme hivyoo.. mi naona kuku sijui kafanyaje! Emb soma ulichokiandika Kam utaelewaMwanamke kagoma. Watoto wanalia njaa yeye kakomaa anataka hela
Mimi jirani jamaa kanisimulia ukweli kuwa pesa imeisha japo ametoa 300,000/ siku 10 tu zilizo pitaWewe ni mtoto wake wa kambo?!
Hasira mkuuSasa si useme hivyoo.. mi naona kuku sijui kafanyaje! Emb soma ulichokiandika Kam utaelewa
Acha kusingizia kabila, wengine tumeoa wachagga na hawajawahi fanya huo utumbo sema tu mlikutana akili zenu zafanana, ukiambiwa chunguza kwanza kabla ya kuoa mkuu usiwe unapuuzia, usipochunguza matokeo yake ndio hayaWapo mtaani humu kabla hawaoneshi makucha.
Sijui ndio uchaga
Mke michepuko km yote. Alifumwa anapanga kutoa mimba na mwamume mdanganyiAcha kusingizia kabila, wengine tumeoa wachagga na hawajawahi fanya huo utumbo sema tu mlikutana akili zenu zafanana, ukiambiwa chunguza kwanza kabla ya kuoa mkuu usiwe unapuuzia, usipochunguza matokeo yake ndio haya
Usipoa galia ahata mbususu utauziwa
Piga chini, be a man of your prinxiplea usiyumbishwe na mke asiye mwaminifu, mimi naweza vumilia yote ila nikigundua usakiti napiga chini hata kama tuna watoto kumiMke michepuko km yote. Alifumwa anapanga kutoa mimba na mwamume mdanganyi
InterestingMimi jirani jamaa kanisimulia ukweli kuwa pesa imeisha japo ametoa 300,000/ siku 10 tu zilizo pita
Jamaa anasema anaogopa kutelekeza watotoPiga chini, be a man of your prinxiplea usiyumbishwe na mke asiye mwaminifu, mimi naweza vumilia yote ila nikigundua usakiti napiga chini hata kama tuna watoto kumi
Wewe wenzako wanaumia kwako km storyInteresting
π π π πWewe wenzako wanaumia kwako km story