Mke kuficha hati ya kiwanja/nyumba

"actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi"

Kumbuka mali ya baba/mwanaume ni ya wote, mali ya mama/mwanamke ni yake peke yake...
Umeshafanya kosa...
 
"actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi"

Kumbuka mali ya baba/mwanaume ni ya wote, mali ya mama/mwanamke ni yake peke yake...
Umeshafanya kosa...
Wapi hiyo sheria imeandikwa?!
 
Pole mkuu Wanawake huwa na akili za kipekee keshaona siku moja hatakuwa na haki yeye wala watoto wake.
TAFUTA CHAKO MKUU UANDIKE MAJINA YAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…