........mke kujua bei/gharama za g/house ama hotel ni kosa?

Kama huyo mke ni mfanyakazi wa ofisi ambazo uwa zinapokea wageni wa kiofisi anaweza kufahamu gharama za guest house. Pia si kila anayeenda guest house anaenda kwa ajili ya kufanya uzinzi.
Kwy RED kumbe huwa wanaenda kufanyaje?
 
Kama huyo mke ni mfanyakazi wa ofisi ambazo uwa zinapokea wageni wa kiofisi anaweza kufahamu gharama za guest house. Pia si kila anayeenda guest house anaenda kwa ajili ya kufanya uzinzi.
huyo mke anafanyakazi katika saloon ya kike
 
Kumpiga mwanamke haijakaa sawa...tena binti wa watu ni mjamzito...makofi ndio yatamfanya asiwe kiruka njia?
...tena kumpiga mbele za watu mimi ilinikera zaidi
 
Unampigaje mkeo halafu mjamzito, kwanza angekuwa na tabia hizo asingeropoka chochote, itakuwa tu amejua maybe alipeleka wageni
kweli,hata yeye alijitetea hivyo lakini mume hakuelewa somo
 
teh teh teh,kweli wewe kisukari,uko sawa shost
 
wanaume wasiojiamini siku zote ngumi mkononi...pole zake huyo dada, shez preg, still jamaa kampiga , ni hv ndoa changa hapo ataambiwa vumilia ndio mumeo huyo bt wanaume wa ngumi mkononi huwa hawaachi wajameni hata wakiomba msamaha kwa machozi!
..kweli,tulimbeleza mke kuwa avumilie japo ilikuwa kazi ngumu sana na sisi tulishindwa kuwaacha katika hali hiyo kwani tulikuwa nao muda mwingi siku hiyo na jamaa angempiga sana bila sisi...mwishowe alikubali kuingia kwenye gari tukawapeleka kwao kwenye saa sita usiku hivi,pia tulimsihi mume asimpige tena
 
<br />
<br />
Pole zake bwana harusi hakujua kuwa kaoa kurumbembe Nazjaz
 


Tehe tehe tehe tehe tehe! Kazi kweli kweli!
 
Kwy RED kumbe huwa wanaenda kufanyaje?



Mm nasoma hapa tu"ninzuri na rahisi" hii ni hatari kwa mama wa familia! Hata kama angekuwa mfanyakzi wakupokea na kupeleka wagen kwny mahoteli hili liko wazi huyu ni kicheche jamaa imekula kwake hata mimba hiyo mmmmmmmmh!

Ofisi zinapeleka watu kwny mahotel co Guest au ofis gani hiz!!!!!!!!!!
 
Jamaa anagongewa, tena na guest za hapo hapo karibu kitaani duh! akapime afya kwanza!
 
makubwa ngumi tena ila imekaaje ameolewa wiki 3 nanaujauzito wa miezi 6 au mimba sio ya jamaa kuna maswali mengi yaliyosababisha jamaa kupiga mke wake
 
Huyo mwanamume ni mpuuzi...nadhani bado yuko under age!!

Kwa watu wenye A, B, C za uchnguzi, hiyo taarifa ilikuwa ni tip ya nguvu sana na alitakiwa aanze kuutafuta ukweli. Kwa sasa amehangaika na hisia zake na ukweli wenyewe hatakaa aupate maishani...Na kwa mwendo huo, hiyo ndoa imeshaingia doa...Aombe Mungu wapate hata huyo mtoto wakiwa bado wako pamoja...Mzimu wa bei za gust house utaendelea kumtafuna siku zoooote!!

Babu DC (1947)!!
 
kwan ndoa inawiki tatu kwan hiyo mimba mwanaume alimwagia hilo bao kwa huyo demu wapi getto au g/house?
 

Wakati huyo mume anampiga mkewe alikuwa ana akili timamu au alikuwa ameshagida pombe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…