Unge ongelea kipato chako pia kwa mwezi ingependeza pia ili mtu aweze kujipima uzuri wa sisi wanaume ni wallet......kupata wa PhD lazima kipato kiwepo sio sigle digital salaryNatafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering.
2. Nimeajiliwa
3. Nina miaka 34.
4. Ni mkristo
Karibu tuwasiliane PM kwa hatua za awali
Wee mwamba unatuangusha wanaume! Unakuja jukwaani kulialia eti unatafuta mwanamke? Shitiii! Waache akina 'ke' kwani kwao kuolewa ni fursa! Mwanaume kama unajimudu huwezi kukosa mwanamke! Ukiona unakosa basi kuna kitu kimepungua katika kiwango ambacho hata ukioa huwezi kummudu huyo mke!Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering.
2. Nimeajiliwa
3. Nina miaka 34.
4. Ni mkristo
Karibu tuwasiliane PM kwa hatua za awali
Cha kati ni shilling ngapi? Usiongopi kutaja kipato chako mkuu ili uwe huru mimi hapa nilisha wambia mke wangu mpya kipato ili asiwe na matjmaini makubwa nje ya kipato.kipato ni cha kati
mainjinia wengi ni madomo zege nafikiri hesabu zimetuharibu sana ila nashukuru sana ndugu yangu kwa kunipigia pandeEngineer hesabu unazizungusha utakavyo sasa inakuwaje mbususu unashindwa zipata? Anyways mcheki huyu financial services anahitaji mume na pia anamalizia cpa yake na mwisho kabisa ni mwana yanga lia lia hivyo wee ni kusali tuu mayele afuunge basi yeye sio kwa kutetema huko na matiti yake🤣🤣🤣🤣
Hataki ombaombaEngineer hesabu unazizungusha utakavyo sasa inakuwaje mbususu unashindwa zipata? Anyways mcheki huyu financial services anahitaji mume na pia anamalizia cpa yake na mwisho kabisa ni mwana yanga lia lia hivyo wee ni kusali tuu mayele afuunge basi yeye sio kwa kutetema huko na matiti yake🤣🤣🤣🤣
Mwanamke omba omba ana boa bwana yaani ata pedi nimnunulie sii balaaa hiyoHataki ombaomba
Aisee ila kweli maana ata mie before nilikuwa nashusha integration kama piece of cake ila sasa kuja kutongoza demu mhmm mtihani.mainjinia wengi ni madomo zege nafikiri hesabu zimetuharibu sana ila nashukuru sana ndugu yangu kwa kunipigia pande
Ukikosa kazi siku 2 tu anakondaMwanamke omba omba ana boa bwana yaani ata pedi nimnunulie sii balaaa hiyo
Una hoja..Nimelipokea Mkuu nalifanyia kaziWee mwamba unatuangusha wanaume! Unakuja jukwaani kulialia eti unatafuta mwanamke? Shitiii! Waache akina 'ke' kwani kwao kuolewa ni fursa! Mwanaume kama unajimudu huwezi kukosa mwanamke! Ukiona unakosa basi kuna kitu kimepungua katika kiwango ambacho hata ukioa huwezi kummudu huyo mke!
Well said mateAisee ila kweli maana ata mie before nilikuwa nashusha integration kama piece of cake ila sasa kuja kutongoza demu mhmm mtihani.
Yaani bila mig33, tinder badoo hi5 na jf naona mpaka leo nisingejha mbususu inafananaje🤣🤣🤣🤣
Ndio mkuu, na nimekuzidi...😊Unasifa kama zangu Mkuu?