Mke mke mke 🚨🚨🚨

Ambao hatuna kigezo hata kimoja tujuaneπŸ€”
 
Irene Paul huyu? Mbona sijaona in4 kuhusu? Em ngoja nikafukunyue kwani nijue kulikoni.
huyohuyo sofia wa siri, unaniangusha uko daslam au nanjilinji?? nimeskia leo kuingia kwa page ake nakuta hajapost since nov 23 2023 kuna comment ikamuuliza kuna sehem nimesikia umefariki, ukipata jibu niambie
 
Sisi wahaya wenyewe hatutaki waswahili tunataka wahaya wenzetu
 
huyohuyo sofia wa siri, unaniangusha uko daslam au nanjilinji?? nimeskia leo kuingia kwa page ake nakuta hajapost since nov 23 2023 kuna comment ikamuuliza kuna sehem nimesikia umefariki, ukipata jibu niambie
Hapanaaa!! Hajafariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…