Mke mlevi na mpenda starehe!

Unaweza kumpa ngumi akafa bure, bora yaishe, unampiga red card aende zake kwani mlizaliwa wote bana. As time goes on, time will heal your broken heart though its tough to move on but it better than sleeping with a broken heart.
 
kuwa kichwa cha nyumba hakujumuishi kumchapa mwanamke makofi.... in boxing parlance, that's hitting below the belt...

mahali pa kuadhibu inabidi incase hana utii, na kwa hili siyo dhambi kwani mwanamke mwenyewe kashindwa kujiheshimu.
 
haya maajabu tupu. Swali moja tu, ALILIZOA WAPI zigo zito namna hiyo? Ajipange upya fasta.
 


Hapo kwenye bold kijani
 
mahali pa kuadhibu inabidi incase hana utii, na kwa hili siyo dhambi kwani mwanamke mwenyewe kashindwa kujiheshimu.

Katika hili utii haupo, kushindwa kutandika kitanda,
Kunilaza njaa na watoto,
Kunifanya niwe karibu na housegirl.
Nini ... kisa mapombe! Huyu ni wadis tu!
 


huyu sio mke jaman mpeni jina jinginee sababu hicho ni kitu kingine kabisaa..MKE ni yule anayejua majukumu yake kama mke kinyume na hapo apewe jina jingine.......pole kwa huyo kaka aendelee kumpa somo labda atabadilika na kua mke sasa.
 

Aangalie alipo jikwaa c alipoangukia,alifanya mistake ktk uchaguzi wa mke,kumbe alijua familia wanywaji alitegemea nn?
 
Mambo ya kupigana kwa mimi hapana, lakini nayo hasira inaweza kufanya maamuzi yake. Tumeshapigana sana ngumi za utotoni mashuleni hivyo katika utu uzima huu haifai.

Mke akikuuzi ni kuachana nae tu na wala usiogope kugawana nae mali, kitu pekee ambacho kinaweza kunipa shida kuachana na mke ni pale tu tunapokua na mtoto wa chini ya miaka saba, hapo naweza vumilia kuwa naye without tendo la ndoa.
 
pombe ni adui wandoa na kama unabisha si kwa wanaume wala si kwawanwke maana ukinywa akili inashindwa kujizuia kuwa hili ni mbaya au nizuri yote unaona mazuri na ndio mwanzo wa kugonoka bila hata mpiara
 
Nigomba iko mbeya, iko bukoba, iko tarime, ni wa wapi hao jamani?

Mie niacha kwa msomaji kujua mwenyewe, kwa sababu halikuwa suala la msingi katika hii post, cha msingi ni tabia yake. Tatizo watu wanachokoza ili wapate kuanzisha maneno yao ya ukabila. Im not there my friends. Chagueni wenyewe itakuwa kabila gani. Mie sihusiki.
 

Yani mkae miaka yote bila tendo la ndoa ndani ya nyumba moja kisa unasubiria mtoto afike miaka saba? Hapo utakuwa unataka tu wewe, je siku mkajikuta mmeongea vizuri, jamaa akapika msosi, akakutaniatania pale japo umenuna, akanunua a bottle of wine, unadhani akikukumbatia what will happen next? Na hujachangamsha damu muda mrefu na hapo kadamu kameshachemka mwili umekuwa wa moto, lips za moto? Weeeeewe, usilete utani aisee! Hapo kitanda kitavunjika, kama ni sebuleni, makochi lazima yachanike wewe!
 
mie naona hakuna maana yoyote yakuaa chini wazungumze maana tayari huyo muke amesha halibika kikubwa nikumtema 2 tena angalie asije kumletea magonjwa
Bado wanayo nafasi
 
Rafiki yako kuna sehemu kakosea kama alimuanzishia biashara je alifuatilia mapato ya biashara? Na pia inawezekana amebadilika kutokana na kampani aliyo nayo au pia aina ya biashara anayoifanya kiasi cha mapato nacho kikiwa kikubwa bila udhibiti ni tatizo hasa kama mwenye kufanya hiyo biashara akili zake ziko kistarehe zaidi.Kama tangu mwanzo wa biashara angekua anafuatilia mapato na matumizi pia kukaa pamoja inapopatikana nafasi na kupanga mipango ya familia sidhani kama hayo yangefika huko jaribu pia kuangalia upande wa rafiki yako naamini kuna sehemu nae kateleza kimajukumu kama MLEZI na MKUU wa familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…