Michael Edson
Member
- Mar 16, 2021
- 36
- 63
Wakuu ndani ya mjengo nawasalimu.
Niwasilishe kwa ukumbusho kidogo hususani kwa wale tayari walioko kwenye Ndoa. Mkeo au mmeo uliyenae mpaka Sasa ulimpata katika mazingara yapi? Jamii yetu ya kiafrika tumekuwa watu wa kuoa au kuolewa kwa kufata kanuni na taratibu na kuzingatia zaidi itikadi za kiimani.
Mbali na hayo hivi Sasa kizazi cha kileo wengiwao imekuwa si kama ilivyokuwa huko nyuma nazungumzia bibi/babu zetu au wazazi wetu hasa kwa sisi kidgo tulio zaliwa miaka ya 80, ambao swala zima la kuoa au kuolewa haikuwa kama ilivyo Sasa.
Mimi sio mwandishi mzuri, nisimalize uhondo. Huyo bibi au bwana uliye nae ulimpataje? Nawasilisha kwenu.
Niwasilishe kwa ukumbusho kidogo hususani kwa wale tayari walioko kwenye Ndoa. Mkeo au mmeo uliyenae mpaka Sasa ulimpata katika mazingara yapi? Jamii yetu ya kiafrika tumekuwa watu wa kuoa au kuolewa kwa kufata kanuni na taratibu na kuzingatia zaidi itikadi za kiimani.
Mbali na hayo hivi Sasa kizazi cha kileo wengiwao imekuwa si kama ilivyokuwa huko nyuma nazungumzia bibi/babu zetu au wazazi wetu hasa kwa sisi kidgo tulio zaliwa miaka ya 80, ambao swala zima la kuoa au kuolewa haikuwa kama ilivyo Sasa.
Mimi sio mwandishi mzuri, nisimalize uhondo. Huyo bibi au bwana uliye nae ulimpataje? Nawasilisha kwenu.