Mke Mnyaturu anahitajika

Mke Mnyaturu anahitajika

Alikaeli

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
169
Reaction score
194
John Madela anahitaji aoe mke wa kinyaturu huko singida ameahidi kumpa sh 150,000 (Laki moja na nusu) cash yeyote atakaye msaidia kupata mke kutoka kijijisi sio mjini.

Sifa za John Madela
umri 38, mrefu, maji ya kunde, anaishi Sanya Juu wilaya ya Hai, kabila msiha.

Sifa za msichana:
Awe mrefu mnene kidogo, awe bikira, awe na umri wa miaka kuanzia 25-40 kama yupo, asiwe anapaka cream za kujichubua, awe anajua kazi za shamba, hata akiwa na mtoto 1 sawa, akiwa tasa sawa hamna shida.

Ustaarabu jamani hili ni ombi amevutiwa sana na hawa wanyaturu.
 
mininae mdogo wa mke wangu yupo mjin
Toa vigezo vyake alivyo, uwe serious, asiwe amekaa sana mjini atakuwa amejifunza zile tabia au kama ni geti kali ila bado hajajichanganya sawa serious matter
 
Toa vigezo vyake alivyo, uwe serious, asiwe amekaa sana mjini atakuwa amejifunza zile tabia au kama ni geti kali ila bado hajajichanganya sawa serious matter
wakikubaliana na wanaongea vizuri atapewa iyo pesa akupe, kuolewa ni ndani ya miezi 4 au 6 tu
 
Pale kijjini Morogoro niliwaone wanyaturu wakiwa wamevaa nguo nyeusi nadhani watakufaa. Walikuwa wakichunga ng'ombe so fika Morogoro japo Morogoro yenyewe kubwa lakini kwa kuwa unamtafuta na umeahidi kitita inabidi unitafute unipe kitita changu kwanza ndo nikuelekeze alipo.😀
 
Pale kijjini Morogoro niliwaone wanyaturu wakiwa wamevaa nguo nyeusi nadhani watakufaa. Walikuwa wakichunga ng'ombe so fika Morogoro japo Morogoro yenyewe kubwa lakini kwa kuwa unamtafuta na umeahidi kitita inabidi unitafute unipe kitita changu kwanza ndo nikuelekeze alipo.😀
Unganisha sio kuelekeza na uliyemuunganisha akikubaliana basi atapewa yeye atakupa maana atapewa yeye akupe si utakuwa na namba zake na utamfuatilia
 
Unganisha sio kuelekeza na uliyemuunganisha akikubaliana basi atapewa yeye atakupa maana atapewa yeye akupe si utakuwa na namba zake na utamfuatilia
Sasa mkuu si bora ungesema tu kwamba akutongozee huyo demu wa kijijini halafu wewe utampa hela huyo demu ili akalipe kwa mtongozeaji wako. Hili jipu sasa.
 
Hapana usiseme hivyo.
Sasa mkuu si bora ungesema tu kwamba akutongozee huyo demu wa kijijini halafu wewe utampa hela huyo demu ili akalipe kwa mtongozeaji wako. Hili jipu sasa.
 
Rubi VIP hutaki mwenzako apate mke msaidieni mwenzenu mwezeshe kama unaweza
 
kuna rafiki yangu anae ,tena hataki hata pesa atampa bure kabisa,imekuwa bahati umetangaza hapa ni pm tu nikuunganishe nae maana alivyomchoka atampelekea kokote alipo.
ila usia alionipa katika maisha yangu nisije kuowa kabila hilo sijui kuna ukweli
 
John Madela anahitaji aoe mke wa kinyaturu huko singida ameahidi kumpa sh 75,000 cash yeyote atakaye msaidia kupata mke kutoka kijijisi sio mjini, anaogopa wasichana wa mjini ni pasua kichwa, wakijijini wana adabu zile za kuchuchumaa chini na kumsikiliza mume na kuyapanga yao na mume hawana maneno mengi na makubwa.

Sifa za John Madela
umri 37, mrefu, maji ya kunde, anaishi Sanya Juu wilaya ya Hai, kabila msiha.

sifa za msichana:
Awe mrefu mnene kidogo, awe bikira, awe na umri wa miaka kuanzia 28-37 kama yupo, asiwe anapaka cream za kujichubua, kama hatakuwa bikira basi asiwe na mtoto, awe anajua kazi za shamba.

Ustaarabu jamani hili ni ombi amevutiwa sana na hawa wanyaturu.
Mh kumtafutia BIKRA kwa 75000 ni utani
Yaani kazi ya kutafuta bikra kwa ulimwengu wa leo unanilipa 75000 Tu ?aongeze dau aisee
 
kuna rafiki yangu anae ,tena hataki hata pesa atampa bure kabisa,imekuwa bahati umetangaza hapa ni pm tu nikuunganishe nae maana alivyomchoka atampelekea kokote alipo.
ila usia alionipa katika maisha yangu nisije kuowa kabila hilo sijui kuna ukweli
hizo ni tabia zake mbovu binafsi, sio tabia za kabila hilo. blaza ameoa mnyaturu amezaa nae watoto watatu na amani imejaa tele.. uhuni ni hulka ya mtu.
 
Back
Top Bottom