Safi sana hili tumeliona sana hata fweza nazo zinachangia kwa kiasi kikubwa mwanamke akiwa na kipato kikubwa dah hashikiki nyumbani
hapo kny pesa ndo usiseme mwanaume anaweza kufanywa kitu mbaya
hahahaha!habari ndo hiyo,,narejea maandiko,,mwanaume anapaswa kuwa kichwa
na mimi narudi kitandani,,lol
Lakini sisi sote tupo katika mazingira haya je wale waliowasomi wote ndoa zao ni za kheri zaidi - je zina uwezekano wa kupata divorce kwenye mazingira hayo? Inakuwaje kwenye mazingira ambapo mwanamke ndiye msomi zaidi nani anakata mashauri nyumbani? Fikiria mama ni bosi wa wanaume kibao na wanawake kazini halafu anarudi nyumbani mume wake anataka kufanya uamuzi wa mwisho je mwanamke wa namna hiyo kweli akubali au atumie ujiko wake wakiofisi kufanya maamuzi kwa vile anajua sana au yuko katika nafasi ya kujua zaidi?
Inakuwaje kwenye kumsahihisha mtoto? baba akisema hivi na mama akisema vile na wakapingana nani asikilizwe au wamuache tu mtoto aamue mwenyewe?
Hahahaha mwanaume anakuwa kama mbwa koko anageuzwa zuzu watoto wa mujini wanasema bushoke lol
Na usiombee mama anunue usafiri wa nguvu kama V 8 zile za JK au awe na hummer mashosti mtakoma kulinga
hahahaha!hapo sipati picha ni Fidel anafanyiwa hivyo,,muda wote maskini inakuwa mdogo kama piriton,,unakosa konfidensi ya kiume kabisa yani unakuwa wewe ndo umeolewa,,dah!God have mercy
Asikwambie mtu Pesa ina nguvu bana angalia mitaani kijana mdogo mwenye pesa anavyo nyenyekewa wazee wanampa shikamoo sasa sembuse pesa kaikamata mwanamke kwenye ndoa hiyo si kutakuwa na nidhamu za woga unashangaa nampa wife shikamoo asubuhi kisa anakisu kirefu
hahaha!ukweli ni kwamba mwanamke hata akiwa na pesa isizidi ya mwanaume,,ingawa zaidi ni kumuomba Mungu kupata mwenza mwema.:A S-alert1:
Waswahili wanasema pesa ni sabuni ya roho ukiwa nazo mmh sijui kama utamkumbuka Mungu kwa dhati zaidi zaidi itakuwa unafiki tu
I beg to differ, we shouldn't submit to have lesser pay because we are married and are scared to bruise our men's ego,hahaha!ukweli ni kwamba mwanamke hata akiwa na pesa isizidi ya mwanaume,,ingawa zaidi ni kumuomba Mungu kupata mwenza mwema.:A S-alert1:
but leo nikipata promotion yenye more money than hubby niikatae cause he's head ?
Mhandisi
Dah!hapo sasa itabidi uje huku nikuombee upako ili uanze kuomba sasa hivi usije kufanywa bushoke bdae
Couples za wasiosoma kabisa huwa zimetulia sana! Refer enzi za ujima na zama za mawe ndoa zilikuwa zinadumu sana.
Baba Phd holder, mama na MBA....Yaani kitanda kimoja zinalala digrii tano...Dah!
Can we look @ some successful women out there who make more money and if their marriage ziko strong ? Nahisi umuhimu ni heshima jamani,Ndugu Mhandisi
Kama unajua binadamu tunabadilika kulingana na mda, mahali n.k basi elewa leo hii wewe ukiwa bilionea kuliko mmeo lazima ndoa yako iingie mushkeli piga ua galagaza, wewe mwenyewe utabadilika kwa mmeo na hii italeta mfarakano zaidi na zaidi na jamaa kujiona mtumwa kwako bilione