Mke mtarajiwa anahitajika hapa

YAHERI MUNGU

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
318
Reaction score
215
Kwa ufupi sana ni kwamba mke mtarajiwa na ambaye yuko very serious kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na baadaye kuoana, ninamuhitaji sana tena sana.

Kwa upande wa sifa anazotakiwa kuwa nazo ni pamoja na yeye awe na umri wa kuanzia miaka 25 hadi 34 maana mimi nina 35, awe muelewa katika masuala ya maisha. Mengine mengi tutawasiliana na kujuzana.

Kwa upande wangu mimi ni muhitimu wa chuo, nimejiajiri mwenyewe size yangu ni wasitani na ninaishi hapa Dar es Salaam. Hivyo, aliye tayari tafadhali anicheki ili tuweke mambo sawa.

Nawatakieni siku njema.
 
Nichek kwa 0623988967
 
Ukija jukwaahili unatabasam tuuu kwakweli yaaan kila mgeni anaanza na mke,mume mchumba khaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…