LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa Yuko nje ya box huyo..Hold on bro.....
Kuna mmoja nimeona tangazo lake hapandani, lakini yeye ana 33 years old. Mengine yote naona ni sawa na ulivyo hitaji
Haahaa, we Ni mhaya nn, nawapenda Ila sipendi kuwa Kama sehemu ya mke/mumeKwani wewe ni kabira gani? Asie penda wasukuma na Wahaya
Haahaa, mkuu mpaka aachike saa ngapi?Ngoja dida aachike umuoe ndio anakufaa yule
Yule hachelewagi mkuuHaahaa, mkuu mpaka aachike saa ngapi?
....haahaaaYule hachelewagi mkuu
Mtu aliyepata mafunzo baada ya Elimu ya kidato Cha nne...mf. mafunzo ya uhasibu, unesi, uwalimu...nkcertificate ni nini mkuu
Peleka maombi bibiecertificate ni nini mkuu
Hayakubaliwi mimi Std 7 [emoji23]Peleka maombi bibie
eeh hayaMtu aliyepata mafunzo baada ya Elimu ya kidato Cha nne...mf. mafunzo ya uhasibu, unesi, uwalimu...nk
Haahaa utawapata tu mkuu...Hayakubaliwi mimi Std 7 [emoji23]eeh haya
Bob kama haupo Dar omba likizo ya siku 30 nenda Dar halafu mingle maeneo ya kituo cha Posta Mpya kuanzia saa tisa mchana mpaka saa moja usiku.Haahaa utawapata tu mkuu...
Haaahaa, mkuu Asante kwa ushauri wako, lakini mke anapatikana dar tu?Bob kama haupo Dar omba likizo ya siku 30 nenda Dar halafu mingle maeneo ya kituo cha Posta Mpya kuanzia saa tisa mchana mpaka saa moja usiku.
Kituo kingine cha mingle kifanye kiwe Makumbusho stand, na pale nenda mida hiyo hiyo au asubuhi.
Mi nichukue kama mdogo wako niwe nakusaidia kuspot wenye vigezo na kukupigia promo. Ndani ya siku tano tunahakikisha una watu watano mezani ambao wife atatokea hapo.
Hapana. Ila Dar ndiyo ninapopajua na hizo sehemu mbili zina viwango vya kimataifaHaaahaa, mkuu Asante kwa ushauri wako, lakini mke anapatikana dar tu?
AmeenHaahaa utawapata tu mkuu...
Sawa mkuu...Hapana. Ila Dar ndiyo ninapopajua na hizo sehemu mbili zina viwango vya kimataifa