Mke muislam

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Bint wa kiislam mwenye nia ya kuolewa...awe ana uelewa wa dini ya kiislam vizuri. AMUOGOPE ALLAH.
Swala awe ana swali.
Stara na ajiheshimu.
Awe hajawahi olewa.
Awe hajazaa.
Asiwe na historia chafu.
Umri kuanzia 17-22.
Apatikane Dar, Moro, Pwani, Tanga, Lindi, Kondoa & Mtwara.
Angalau Elimu ajue kusoma na kuandika tu.

Ni PM. TUELEZANE MENGINE.

NB;-
USIWE NA SHAKA...MIMI NINA SIFA HIZO KWENYE DINI.
Sijawahi oa ndio nataka nioe. SINA MTOTO.
ELIMU NIPO MBALI KIDOGO.
 
Ila usimletee mke wa pili na wa tatu. Wala usimzuie kurithi mali zako ikitokea umetangulia huko mbele
 
kwann amuogope 'allah'
kwan allah anaogopesha?
 
Kweli elimu uko mbali ndo maana unatafuta vitoto ambavyo bado viko masomoni
 
unataka kuoa mtoto ambaye hata chupi yake hawezi kuifua baadae urudi JF kumsimanga. Mna mashaka na wewe kama kweli dini unaijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OTE="Zola7, post: 23367163, member: 296676"]unataka kuoa mtoto ambaye hata chupi yake hawezi kuifua baadae urudi JF kumsimanga. Mna mashaka na wewe kama kweli dini unaijua

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
Kama yupo mtoto mpaka umri wa miaka 17 bado hajui kuvaa nguo ya ndani...basi huyo atakuwa mwanao...mfunze kwanzaa
 
[QUOTE="Sweet16, post: 23361840, member: 2138a kwel elimu uko mbali ndo maana unatafuta vitoto ambavyo bado viko masomoni[/QUOTE]

Kama bado yupo masomoni asome...mimi nataka anayetaka ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…