The African_giant
Member
- Jan 10, 2020
- 15
- 22
Nashukuru mkuu kwa uwezo wa Mungu nitawaelezaKaka usiku wote huu, kweli una haja ya mke ila hao 23 utawaweza maaa bado, vindakindaki
Angalau 25... anyway kila la kheri,Usisite kuleta mrejesho
Mkuu we unadhani kila mtu bado yupo chuoni tu kitambo tumemaliza enzi hizoHuko chuoni hawapo mbona wanachuo mnatuabisha
Kaka hii ya siku zoteId Mupyaa
Ila, kweli una haja ya mke hao 23 utawaweza maaa bado, vindakindaki
Angalau 25... anyway kila la kheri,Usisite kuleta mrejesho
[emoji3][emoji3][emoji3], kwa unavyonisumbua bora nijiite mjane tuufinancial services tafadhali usipite huku ukaja kusema wewe ni mjane.
Please njoo tumalize tofauti yetu,show me how ur mom do.[emoji3][emoji3][emoji3], kwa unavyonisumbua bora nijiite mjane tuu
Hi babe, love you too my meno[emoji3], hili jina mi hoi "Meno ya kuku", ulifikiria nini hadi kujiita hivo mkuu?Please njoo tumalize tofauti yetu,show me how ur mom do.
Love u my Queen.
Na huko unakosali umekosa mpaka unakuja kutafuta watu ambao hujawahi ishi nao au hata kujua machache kuhusu waoMkuu we unadhani kila mtu bado yupo chuoni tu kitambo tumemaliza enzi hizo
Najua hata kipenzi changu basis tu kiroba imekaa sawa + discrete math=meno ya kuku akazaliwa.Hi babe, love you too my meno[emoji3], hili jina mi hoi "Meno ya kuku", ulifikiria nini hadi kujiita hivo mkuu?