Mke mwema anahitajika

Thubutuuuuu akaaaaa [emoji23
Kweli nimeamini mke mwema anapatikana JF
Kuna watu ninaowajua walifahamiana kupitia ukurasa huu huu kisha wakafunga pingu za maisha na mpaka sasa hivi wana watoto watatu. Maisha yao yapo safi tu. Mke mwema anapatikana popote pale. Kuna watu wamewapata wake zao katika nyumba za Ibada lakini hawakuweza kudumu katika ndoa zao hata mwaka mmoja. Don't let the world run you it's you who needs to run the world. Good day.
 
Mkuu nakushauri nenda kanisani au masikitini..

Mke mwema huwezi kumpata jf..
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi leta tangazo kama lako humu, aisee jf kuna mengi sana, ila ni zamani sana sasa hivi sina huu....tena
 
Haya subiri anakuja
 
Una haraka sanaa, embu tulia andika vizuriii basi
 
Haya mambo ya kusema hujapata unaemtaka.

Hivi wanawake wamegeuzwa km nguo za kariakoo sio?

Yaani umefaidi hiko pm mapichapicha ya wadada wa watu leo hii wanaona post ingine eti sijaridhika!

By the way this tym utaokota nazi mbovu zaidi.
pole dear, utapata asietaka picha
 
Pole...utapata usijali
 
Aisee pole sana, mkuu kupata mwanamke ni kazi mno, baadae nimekuja kugundua huwezi jua utaoa mwanamke yupi pia nimegundua unakaa unasitukia umejipatia mke mwema na mzuri aisee..
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…